Kwa press conference ya Leo, hivi Msolla na Mwakalebela wana kazi gani hasa pale Yanga?

Mwishokambi

JF-Expert Member
Nov 23, 2020
303
1,158
Leo kwenye press conference nimeona Ceo wa Simba na afisa habari wakiwakilisha klabu yao ya Simba, kwa upande wa GSM walikuwepo Haji Manara, Senzo Mazingiza na afisa habari wa Yanga Hassan Bumbuli.
Kwa kweli nashindwa kuelewa kwann shughuli za Yanga siwaoni Msolla wala Mwakalebela ambao ndio viongozi halali wa Yanga kwa mujibu wa katiba, hao akina Senzo na Manara ni wawakilishi wa GSM ndani ya Yanga, je, nani analinda maslahi ya Yanga kwa sasa, je kwa vile Yanga wanafanya vzr basi mashabiki na wanachama hawaoni sababu ya kuhoji lolote, kwamba wao furaha ni matokeo ya ushindi tu?
Kwann waandishi wa habari hasa popoma Kitenge hawamuulizi Msolla na Mwakalebela maswali haya, kwamba kazi yao ni kufungua mashina, vikao na kufunga vikao? Wana faida gani ya kuwepo Yanga sasa, je hawaoni kuwa wakiwepo au wasiwepo Yanga haiwezi kutetereka? Kwann GSM ameteka madaraka ya akina Msolla, kwann Bumbuli anapewa nafasi ndogo au anadharaulika sana Yanga kuliko zungu pori?
 
Leo kwenye press conference nimeona Ceo wa Simba na afisa habari wakiwakilisha klabu yao ya Simba, kwa upande wa GSM walikuwepo Haji Manara, Senzo Mazingiza na afisa habari wa Yanga Hassan Bumbuli.
Kwa kweli nashindwa kuelewa kwann shughuli za Yanga siwaoni Msolla wala Mwakalebela ambao ndio viongozi halali wa Yanga kwa mujibu wa katiba, hao akina Senzo na Manara ni wawakilishi wa GSM ndani ya Yanga, je, nani analinda maslahi ya Yanga kwa sasa, je kwa vile Yanga wanafanya vzr basi mashabiki na wanachama hawaoni sababu ya kuhoji lolote, kwamba wao furaha ni matokeo ya ushindi tu?
Kwann waandishi wa habari hasa popoma Kitenge hawamuulizi Msolla na Mwakalebela maswali haya, kwamba kazi yao ni kufungua mashina, vikao na kufunga vikao? Wana faida gani ya kuwepo Yanga sasa, je hawaoni kuwa wakiwepo au wasiwepo Yanga haiwezi kutetereka? Kwann GSM ameteka madaraka ya akina Msolla, kwann Bumbuli anapewa nafasi ndogo au anadharaulika sana Yanga kuliko zungu pori?
Hiyo sio kazi ya viongozi ni kazi ya kiutekelezaji
 
Leo kwenye press conference nimeona Ceo wa Simba na afisa habari wakiwakilisha klabu yao ya Simba, kwa upande wa GSM walikuwepo Haji Manara, Senzo Mazingiza na afisa habari wa Yanga Hassan Bumbuli.
Kwa kweli nashindwa kuelewa kwann shughuli za Yanga siwaoni Msolla wala Mwakalebela ambao ndio viongozi halali wa Yanga kwa mujibu wa katiba, hao akina Senzo na Manara ni wawakilishi wa GSM ndani ya Yanga, je, nani analinda maslahi ya Yanga kwa sasa, je kwa vile Yanga wanafanya vzr basi mashabiki na wanachama hawaoni sababu ya kuhoji lolote, kwamba wao furaha ni matokeo ya ushindi tu?
Kwann waandishi wa habari hasa popoma Kitenge hawamuulizi Msolla na Mwakalebela maswali haya, kwamba kazi yao ni kufungua mashina, vikao na kufunga vikao? Wana faida gani ya kuwepo Yanga sasa, je hawaoni kuwa wakiwepo au wasiwepo Yanga haiwezi kutetereka? Kwann GSM ameteka madaraka ya akina Msolla, kwann Bumbuli anapewa nafasi ndogo au anadharaulika sana Yanga kuliko zungu pori?
katiba imebadilika, CEO wa yanga ni Senzo (interim CEO)na ndo maana alikuepo janaa
 
Leo kwenye press conference nimeona Ceo wa Simba na afisa habari wakiwakilisha klabu yao ya Simba, kwa upande wa GSM walikuwepo Haji Manara, Senzo Mazingiza na afisa habari wa Yanga Hassan Bumbuli.
Kwa kweli nashindwa kuelewa kwann shughuli za Yanga siwaoni Msolla wala Mwakalebela ambao ndio viongozi halali wa Yanga kwa mujibu wa katiba, hao akina Senzo na Manara ni wawakilishi wa GSM ndani ya Yanga, je, nani analinda maslahi ya Yanga kwa sasa, je kwa vile Yanga wanafanya vzr basi mashabiki na wanachama hawaoni sababu ya kuhoji lolote, kwamba wao furaha ni matokeo ya ushindi tu?
Kwann waandishi wa habari hasa popoma Kitenge hawamuulizi Msolla na Mwakalebela maswali haya, kwamba kazi yao ni kufungua mashina, vikao na kufunga vikao? Wana faida gani ya kuwepo Yanga sasa, je hawaoni kuwa wakiwepo au wasiwepo Yanga haiwezi kutetereka? Kwann GSM ameteka madaraka ya akina Msolla, kwann Bumbuli anapewa nafasi ndogo au anadharaulika sana Yanga kuliko zungu pori?
Mbona huulizi kuhusi mangungo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga hakuna timu pale sema uzembe wa Mugalu ndio imeonekana nao wana timu hadi wamebahitisha kikombe
 
Kwan Manara alisemaje kuhusu akili za watopolo, achilia mbali yule kocha wao prof. Luc Eimayel
 
Sasa manara ameambia abaki nyumbani aende senzo na bumbuli manara kagoma anapenda camera yule jamaa anamfanya bumbuli asiwe na amani pale yanga.
 
Leo kwenye press conference nimeona Ceo wa Simba na afisa habari wakiwakilisha klabu yao ya Simba, kwa upande wa GSM walikuwepo Haji Manara, Senzo Mazingiza na afisa habari wa Yanga Hassan Bumbuli.
Kwa kweli nashindwa kuelewa kwann shughuli za Yanga siwaoni Msolla wala Mwakalebela ambao ndio viongozi halali wa Yanga kwa mujibu wa katiba, hao akina Senzo na Manara ni wawakilishi wa GSM ndani ya Yanga, je, nani analinda maslahi ya Yanga kwa sasa, je kwa vile Yanga wanafanya vzr basi mashabiki na wanachama hawaoni sababu ya kuhoji lolote, kwamba wao furaha ni matokeo ya ushindi tu?
Kwann waandishi wa habari hasa popoma Kitenge hawamuulizi Msolla na Mwakalebela maswali haya, kwamba kazi yao ni kufungua mashina, vikao na kufunga vikao? Wana faida gani ya kuwepo Yanga sasa, je hawaoni kuwa wakiwepo au wasiwepo Yanga haiwezi kutetereka? Kwann GSM ameteka madaraka ya akina Msolla, kwann Bumbuli anapewa nafasi ndogo au anadharaulika sana Yanga kuliko zungu pori?
Akili za Makolo Bana shida sana kwanza kuvhanhia izi kama huu ni matumizi mabaya ya kichwa
 
Back
Top Bottom