Kwa tabia hii ya wanawake, wanaume hatutoboi. Narudia hatutoboi

Huyu wa leo ni mdada wa tano ndani ya week kama tatu hivi. Amekataa katakata kutumia ndom tukiwa naye faragha!

Hivi hili wimbi la ongezeko la kinadada au Wanawake kutopenda kutumia kondom wakati wa Kuzagamuana Linasababishwa na nini?
Huu mwendo sio wenyewe husema saivi vilainishi full
 
Huyu wa leo ni mdada wa tano ndani ya week kama tatu hivi. Amekataa katakata kutumia ndom tukiwa naye faragha!

Hivi hili wimbi la ongezeko la kinadada au Wanawake kutopenda kutumia kondom wakati wa Kuzagamuana Linasababishwa na nini?
Tusitishane alooo....🤨
We piga pipe mazee...😜
 
Huyu wa leo ni mdada wa tano ndani ya week kama tatu hivi. Amekataa katakata kutumia ndom tukiwa naye faragha!

Hivi hili wimbi la ongezeko la kinadada au Wanawake kutopenda kutumia kondom wakati wa Kuzagamuana Linasababishwa na nini?
Hivi hivi inakungoja
 
Unataka kugundua Nini kwenye wanawake watano? Huoni aibu,hiyo ni dalili kuwa huna nguvu za kiume
 
Huyu wa leo ni mdada wa tano ndani ya week kama tatu hivi. Amekataa katakata kutumia ndom tukiwa naye faragha!

Hivi hili wimbi la ongezeko la kinadada au Wanawake kutopenda kutumia kondom wakati wa Kuzagamuana Linasababishwa na nini?
Ukiona hvy huyo ni muathirika, na wengi wanao kataa elewa wapo listed, ila kwa umakini zaidi uwe unatumia mafuta ili kuzuia friction
 
Back
Top Bottom