Ekyoma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,177
- 2,805
Habari za mda huu wana jamvi
Dada zangu kwa style hii dada zangu sahau kuhusu ndoa. Siku izi ni jambo la kawaida kua na demu unaishi naye kama mke yani kila kitu kinachopatikana ktk ndoa unapewa yan cku izi madem sio wachoyo unatafuna adi unachoka mwenyewe. Tena inawezekana tunapewa zaid ya wale walioko kwenye ndoa kwa sababu ya kuofia kuachwa kwa hawa wadada.
Mwanzoni nilidhan labda nna bahati ya kupendwa kumbe kila njemba inayopata bahati ya kua dem inapewa kila kitu sasa kwa style iyo naoa ili iweje wakati kila kitu napata dada zangu tengenezen mazingira ya kutubania kidogo ili tutaman kuwao la sivyo tutaendelea kuwatufuna na ndoa hakuna.
Dada zangu kwa style hii dada zangu sahau kuhusu ndoa. Siku izi ni jambo la kawaida kua na demu unaishi naye kama mke yani kila kitu kinachopatikana ktk ndoa unapewa yan cku izi madem sio wachoyo unatafuna adi unachoka mwenyewe. Tena inawezekana tunapewa zaid ya wale walioko kwenye ndoa kwa sababu ya kuofia kuachwa kwa hawa wadada.
Mwanzoni nilidhan labda nna bahati ya kupendwa kumbe kila njemba inayopata bahati ya kua dem inapewa kila kitu sasa kwa style iyo naoa ili iweje wakati kila kitu napata dada zangu tengenezen mazingira ya kutubania kidogo ili tutaman kuwao la sivyo tutaendelea kuwatufuna na ndoa hakuna.