Kwa staili hii kwanini Wachina wasitumalize?

My Son drink water

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
4,932
13,283
Wachina ni moja ya jamii za ajabu kabisa hapa Duniani, ukitoa Roho za kikatili walizonazo Wachina wanakula vyakula vya kutisha ambavyo ndo chanzo cha magonjwa Kama Corona Virus.
Hebu Tazama vyakula vyao hawa watu.
20200312022229_732808760_474_355_webp.jpeg
20200312022229_1049888017_474_316_webp.jpeg
20200312022229_-711825001_474_316_webp.jpeg
20200312022229_-2009921243_474_266_webp.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiombe ukawa mfugaji wa mbwa halafu ukaoa mchina ipo siku utakuta anakuambia "Baby surprise"!! Huku anakuonyesha ngozi ya mbwa wako hapo bado hujaingia ndani kupokea mshangao wa rosti ya mbwa wako uliemuita Cheetah!,kashushwa vyeo kuwa mlinzi mpaka kuwa kitoweo😂😂😂🤣
 
Binaadamu wote wanaotoka bara la Asia (Mongolian races) nawachukia mno.
Bora uwe mtumwa kwa mzungu kuliko kua mfanyakazi bara la asia
Chuki binafsi haijengi mkuu.Wachululie poa tu na ujihadhari nao pale unawahis kama ni hatar kwako
 
Chuki binafsi haijengi mkuu.Wachululie poa tu na ujihadhari nao pale unawahis kama ni hatar kwako
Utotoni nilikua naipenda sana nchi ya China, nilitamani sana siku moja niende mji wa Canton (sasa hivi waitwa Guangzhou). Sababu kuu ilikua ni muvi za kichina hasa za Jet li..
Ila nilipokua nikajua roho mbaya zao. Hapana wanipite mbali tena sasa hv nikiwaona sioni mtu naona Corona tu!
Mchina,Muhindi na Muarabu ni viumbe wa ajabu na hatari tunaoishi nao humu duniani hasa sisi weusi.
Acha korona iwanyooshe
 
Utotoni nilikua naipenda sana nchi ya China, nilitamani sana siku moja niende mji wa Canton (sasa hivi waitwa Guangzhou). Sababu kuu ilikua ni muvi za kichina hasa za Jet li..
Ila nilipokua nikajua roho mbaya zao. Hapana wanipite mbali tena sasa hv nikiwaona sioni mtu naona Corona tu!
Mchina,Muhindi na Muarabu ni viumbe wa ajabu na hatari tunaoishi nao humu duniani hasa sisi weusi.
Acha korona iwanyooshe

Hila nyie weusi mnaongoza kwa uchawi
 
Wachina wanaroho mbaya kama mm naetamani kula nyama ya chura na kakakuona sijui ntaipata wapi konokono wa majini tayar bado nchi kavu
 
Hawa jamaa wametuletea gonjwa la ajabu sana.

Hivi unaanzaje kula supu ya popo?
 
Binaadamu wote wanaotoka bara la Asia (Mongolian races) nawachukia mno.
Bora uwe mtumwa kwa mzungu kuliko kua mfanyakazi bara la asia

Uliza wanaofanya kazi kwa wachina humu wanayajua..Hasa wakenya

wakenya wanachapwa viboko🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mimi nataka niwa karibishe huku kwetu.nasumbuliwa Sana na nyoka usiku.yaan siku haipiti tuna uwa nyoka,Ila ntajiadhari na mkataba wakimaliza tu kuwala na wakaisha warudi kwao,Tafadhari I mwenye mashine ya kupimia Corona aniazime

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Licha ya hivyo,wakati wazungu hawajatuma msaada italy,wachina wao wamepeleka msaada mkubwa japokuwa wait wenyewe wanakabiliwa na Hilo janga,
Huku marekani wao wakizuia kabisa usafiri wa abiria toka europe
 
Utotoni nilikua naipenda sana nchi ya China, nilitamani sana siku moja niende mji wa Canton (sasa hivi waitwa Guangzhou). Sababu kuu ilikua ni muvi za kichina hasa za Jet li..
Ila nilipokua nikajua roho mbaya zao. Hapana wanipite mbali tena sasa hv nikiwaona sioni mtu naona Corona tu!
Mchina,Muhindi na Muarabu ni viumbe wa ajabu na hatari tunaoishi nao humu duniani hasa sisi weusi.
Acha korona iwanyooshe
Umemsahau na mzungu aliewauza babu zetu Kama mbuzi na kujenga zoo za kuonesha watu weusi Kama wanyama mpaka leo weusi wanarushiwa ndizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom