mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 614
- 322
Habari wana Jamvi hili nadhani mko poa.
Nikupeni story kwa ufupi nimekutana na mdada mzuri sana 6/9/2015 akanisimamisha nimpatie lift nikasimama na kupatia lift katika gari safari ilikua ndefu dada kakaa mbele pale nikamuona yuko doro ikabidi nianze kumsifia ajisikie kua nae ni msichana baada ya muda akaniuliza kua nitarudi ninakoenda nikamuambia ndio ila sitokawia sana akaniambia ukirudi nipe lift tena nikamuitikia wakati wa kushuka akaniomba namba kwa lengo la akifika ile sehemu aniulize kua nimeshapita ama laaa sikua na hiana nikampa.
Basi kaja kunipigia usiku eti oooooo nilipanda daladala nikamjibu sio shida akajishebedua pale nikahisi anataka haa angalau adoewe maaana hakua na story nikasema ngoja nijiangalie swaga zangu na kichinchiri bado zinaibua mtoto kajaa teleee mabusua na sms za mapenzi na kulazwa unono kama tumejuana mwezi.
Leo 7/9/2015 nimeamka sms kibao za asubuhi njema mara simu heeee nikajua kua nishaepua shida jikoni kwa mtu basi kufika jioni ikaja sms" BBY I LOVE" nikasema wacha niwe ----- nikajibu "ME TOO" baada ya masaaa naona sms "BBY KAMA KWELI UNANIPENDA NIPELEKE SHOPING NIKACHAGUE NITAKACHO AMA NINUNULIE SIMU YA WHATSAPP"
ivyo huyu DEMU KANIONA MI NATOKA MERERANI?
Kama ni gari basi nishavuta HAND BREAK wacha nikimbie ila mademu mapenzi ya maslahi yashapitwa na wakati badilikeni?
Nikupeni story kwa ufupi nimekutana na mdada mzuri sana 6/9/2015 akanisimamisha nimpatie lift nikasimama na kupatia lift katika gari safari ilikua ndefu dada kakaa mbele pale nikamuona yuko doro ikabidi nianze kumsifia ajisikie kua nae ni msichana baada ya muda akaniuliza kua nitarudi ninakoenda nikamuambia ndio ila sitokawia sana akaniambia ukirudi nipe lift tena nikamuitikia wakati wa kushuka akaniomba namba kwa lengo la akifika ile sehemu aniulize kua nimeshapita ama laaa sikua na hiana nikampa.
Basi kaja kunipigia usiku eti oooooo nilipanda daladala nikamjibu sio shida akajishebedua pale nikahisi anataka haa angalau adoewe maaana hakua na story nikasema ngoja nijiangalie swaga zangu na kichinchiri bado zinaibua mtoto kajaa teleee mabusua na sms za mapenzi na kulazwa unono kama tumejuana mwezi.
Leo 7/9/2015 nimeamka sms kibao za asubuhi njema mara simu heeee nikajua kua nishaepua shida jikoni kwa mtu basi kufika jioni ikaja sms" BBY I LOVE" nikasema wacha niwe ----- nikajibu "ME TOO" baada ya masaaa naona sms "BBY KAMA KWELI UNANIPENDA NIPELEKE SHOPING NIKACHAGUE NITAKACHO AMA NINUNULIE SIMU YA WHATSAPP"
ivyo huyu DEMU KANIONA MI NATOKA MERERANI?
Kama ni gari basi nishavuta HAND BREAK wacha nikimbie ila mademu mapenzi ya maslahi yashapitwa na wakati badilikeni?