Agnessjuma
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 317
- 86
Pengine ameazima ka gari kwa best 2cmlaum sana
Ushajifungua?????
nimeshajifungua niko home nanyonyesha bestito niletee pampers za mtoto basi yaani hapa niko jela mpaka oct
nahisi hata uchaguzi sitashiriki navyoona
we we we we....kupiga kura uache!!!!!! Hauko siriaz....
Mtoto ana kilo ngapi aisee nikuletee pampers mara moja!
we we we we....kupiga kura uache!!!!!! Hauko siriaz....
Mtoto ana kilo ngapi aisee nikuletee pampers mara moja!