Kwa staili hii kina dada mtaumia

Kwa staili hii kina dada mtaumia

Kuna ubaya gani kumpa lift mrembo kama wewe barabarani?!!
Aaaaah mie barabarani unanipita tu bila hata kunotice kama kuna mtu umempita. Afu wewe na watoto wazuri pale feri tutakusahau soon teh
 
Hahahaaaaa!! Okey tushajua una gari, anything else?
 
upendo saa nyingine ujue ni kama chafya sishangai.

unaweza kutana na mtu hivyo ukadondokamo kabisa. shimamoo moyo
 
njaa kali mjini

Huyo nae muwindaji tu, walikutana wawindaji sasa analalama nini tena!! Apeleke shoping huko ye si ana gari.

Eti anajifanya hajui!! Mambo magumu haya jamani ampeleke tu shoping.

ampe tu simu ya whats app

Sasa mwenzie hana simu ya wasap alafu anambania, uchoyo tu!

uchoyo uliokithiri tena


Naona YMCMS aka YOUNG MONEY CASH MONEY SISTERS mmeingia.....
 
Hivi hizi simu za whatsap zimetoka lini? Nami nikazicheki nione muundo wake
nimwambie laaziz aninunulie ati hahahahahahahhaaaaaaaaaaaa
sasa mwenzie hana simu ya wasap alafu anambania, uchoyo tu!
 
Back
Top Bottom