Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wasalaam ndugu zangu !
Mimi ni mnywaji na mlevi kwa miaka 15 wa pombe aina ya beer yaani Safari Lager za baridi, nikiikosa hiyo huwa napalamia bia yoyote kulingana na uchumi na mazingira nilipo.
Binafsi nimeona pombe ina raha zifuatayo:-
1. Inatuliza akili na kusahau baadhi ya shida zinazonikabili
2. Inanipa confidence ya kutenda jambo zuri au baya kwa mtu yeyote bila kujali status ya mtu huyo
3. Huwa inarahisha maamuzi magumu kuwa mepesi mfano kununua mashamba , kujenga nyumba , kununua usafiri na
4. Inanipaga ujasiri wa kufikiria njia za kupata pesa na kuzitekeleza
5. Inaondoaga woga wakati wa kumtongoza mwanamke hata kama awe mlokole, waheshima kiasi gani au swala 5 kiasi gani, awe mkubwa , awe mdogo n.k
HASARA YAKE:
1. Confidence ya kuendesha gari nikiwa nimekunywa huwa nakoswa koswa sana na ajali
2. Nikiwa na mchepuko ni rahisi sana kwenda bila condom. Huu ndo ujinga wa pombe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mnywaji na mlevi kwa miaka 15 wa pombe aina ya beer yaani Safari Lager za baridi, nikiikosa hiyo huwa napalamia bia yoyote kulingana na uchumi na mazingira nilipo.
Binafsi nimeona pombe ina raha zifuatayo:-
1. Inatuliza akili na kusahau baadhi ya shida zinazonikabili
2. Inanipa confidence ya kutenda jambo zuri au baya kwa mtu yeyote bila kujali status ya mtu huyo
3. Huwa inarahisha maamuzi magumu kuwa mepesi mfano kununua mashamba , kujenga nyumba , kununua usafiri na
4. Inanipaga ujasiri wa kufikiria njia za kupata pesa na kuzitekeleza
5. Inaondoaga woga wakati wa kumtongoza mwanamke hata kama awe mlokole, waheshima kiasi gani au swala 5 kiasi gani, awe mkubwa , awe mdogo n.k
HASARA YAKE:
1. Confidence ya kuendesha gari nikiwa nimekunywa huwa nakoswa koswa sana na ajali
2. Nikiwa na mchepuko ni rahisi sana kwenda bila condom. Huu ndo ujinga wa pombe.
Sent using Jamii Forums mobile app