hahahah 2.1m p month...
habari za leo wakuu.
Nimekuja leo hapa nikiwa na suala la kutafuta mke...
akina dada aliye tayari ani pm
umri wangu 34yrs.
habari za leo wakuu.
Nimekuja leo hapa nikiwa na suala la kutafuta mke...
akina dada aliye tayari ani pm
umri wangu 34yrs.
je,unamiliki bastola?
Mkuu... mbona CV haina nyama??? jazia jazia basi....
Mdogo wangu kwa maelezo haya itakuwa ngumu kumpata mtani wa jadi aliye serious. Weka na swagga kidogo ili wakuelewe.habari za leo wakuu.
Nimekuja leo hapa nikiwa na suala la kutafuta mke...
akina dada aliye tayari ani pm
umri wangu 34yrs.
Sasa unaanza kueleweka dogo. Tupia swagga zaidi utawaona wakiongezeka tu.hahahah 2.1m p month...
je,unamiliki bastola?
Watamani akidhi vigezo vyako. waweza mpm for more information