Kwa siku unakula sh ngapii???

jipigie mishikak yako ya nyau,lakin mkuu kama kipato chako kiko chin ukilinnganisha na matumiz, hakikisha unakula kwa mama ntilie, huwa hawa wanaokoa kishenzi yan na lif llinaenda kama kkawa mwana, pole sana
 
asubuhi kikombe cha chai ya rangi - shs. 200/-

mchana ndizi mbivu 2 au embe moja shs. 500/=

ugali (dona) unabadilisha mboga - mchicha, matembele, samaki wa kukaanga [hapa unakula nyumbani]

utakula less than 2,000/= na afya tele - hupati kisukari wala pressure

ngozi itakuwa nzuri na hupati kitambi

:poa:poa

yani hii safi sana lazima uchumi ukue
 
Asubuhi napata breakfast geto kwangu yaani chai na mkate, haizidi 1000.

Napika usiku kingi nakula usiku huo na kesho yake jioni.

Mchana nakula bites za 1000 ofisini manake jioni nakula heavy meal geto.

Msosi nunua wa jumla vitu kama sukari, mafuta, maharage, mchele, vegetables nk.

Ukiweza jitengenezee simple lunch box ili kupunguza gharama za mchana halafu usiku unakula vizuri.
 
Elfu kumi ni kawaida kabisa maisha ya sasa, ila kama kipato chako ni kidogo kuna haja ya kurekebisha hali hiyo maana kipato na matumizi vina uwiano. Inawezekana kabisa unapata pesa nyingi ndio maana unaweza kutumia hivyo. Kama wengine walivyosema andaa vitafunwa kanywee chai kazini, mchani pia unaweza kujitengenezea sand-wich nzuri ukala jioni unatia mchele kwenye rice cooker dk 10 chakula kimeisha.
 
Mkuu asubuhi kunywa chai ya rangi tu pamoja na ndizi mbivu...Alafu tafuta mkate wa slice kama labda 4 zichanganye na mayai kama 3 au hata mawili then weka kwenye kitchen foil pamoja na can yako ya drink basi unaenda nayo kazini..hiyo ikifika majira ya mchana unakula..alafu jioni hapo ni home mwenyewe unajipikia hayo matumizi madogo madogo yanakuwa hayapo kabisa....
 
jitahidi kujipikilisha.
nunua maandazi ukanywee chai kazini.
mchana piga desh
usiku nunua mihogo ya kuchoma
hapo utakula buku kwa siku


hahahaha lol. kupiga desh mchana yataka moyo,na ukute kuna ac kali inapuliza ni njaa mtindo m1
 
Habari
Nina kawaida ya kula nje,nimejitahidi kujibana
Breakfast. 2000
Lunch. 3500
Dinner. 2000
Maji/drinks 2500
Jumla ni alfu kumi
Sasa wadau naomba tupeana maujanja namna ya kubana matumizi hata ikibidi kupika niko teyari lakini vyakula viwe simple maana si mjuzi wa kupika na tufundishane kupika maana hiyo alfu kumi inaniharibia sana bajeti yanngu nashindwa kumudu vitu vingine...nawasilisha

nilikua sijawahi kupiga mahesabu,
chai naikuta ofisini ila nabeba vitafunio toka nyumbani,nisipokua navyo basi nanunua haizidi 1000.
lunch 2500 take away chochote.nashushia na maji ya kunywa ya hapahapa ofisini sinunui nje.
na dinner natumia 2000 kama ntapika mwenyewe home.na kama ntanunua labda haitazidi 3000. total haifiki elf 10
lakini bado ntaweka mafuta ya gari ambayo kwa siku inaweza kuwa 10000.
 
Rekebisha msemo wako mkuu! Unakula sh ngapi kwa siku au Unatumia sh ngapi kwa siku?
 
duuuuuuuuuuuuuuuuuuh
asubuhi (sijui niite asubuhi au mchana maana ni saa tano) 2500
mchana - aka desh
jioni najipikilisha
 
usijifanye hujaelewa.

kwahiyo wewe umeridhika na kichwa cha habari?Mi mwenyewe nilitaka niulize hchohicho!Tusiharalishe makosa.We are greater thinker si ndio?Huwezi kula hela ila unatumia kununulia chakula na mahitaji mengine.
 
Wandugu nimehamia shinyanga kikazi, huku 2000 ukila kwa siku ni anasa tena ni dhambi.
 
Kwa kweli siku zote najiuliza hawa tunao waona wana party kila siku na kila siku nguo mpya huku hatuelewi kazi zao hela wanatoa wapi, mfano warembo kama kina Fiderine Iranga na wengine kutwa kwenye facebook, wakiparty nakuoneysha picha pesa hizo wantoa wapi?

Mimi n adhani na matumizi mabaya ya pesa, kwa kwlei nikipiga hesabu naona hali yangu ni mbaya sana mfano

  1. lunch kama sina marafiki ni 8,000
  2. Mafuta 20,000
  3. Washkaji watatu nao wa support kila siku nawapa 5,000 kila mmoja jumla 15,000
  4. Usiku nikitoka kwa fast foon 20,000

    Hapo bado nguo na ma hitaji mengine ya nyumbani najikuta naweza tumia laki kwa siku kw amambo y akawaida tuu.
 
Mchana ninakuwa nyumbani, kwa sababu niko na pikipiki na ninapofanyia kazi ni karibu na ninapokaa

Mbona hujaweka cost nyingine? Au ulilenga kwenye vyakula pekee? Piki piki inatumia maji? Spare parts na service je?
 
Kwa kweli siku zote najiuliza hawa tunao waona wana party kila siku na kila siku nguo mpya huku hatuelewi kazi zao hela wanatoa wapi, mfano warembo kama kina Fiderine Iranga na wengine kutwa kwenye facebook, wakiparty nakuoneysha picha pesa hizo wantoa wapi?

Mimi n adhani na matumizi mabaya ya pesa, kwa kwlei nikipiga hesabu naona hali yangu ni mbaya sana mfano

  1. lunch kama sina marafiki ni 8,000
  2. Mafuta 20,000
  3. Washkaji watatu nao wa support kila siku nawapa 5,000 kila mmoja jumla 15,000
  4. Usiku nikitoka kwa fast foon 20,000

    Hapo bado nguo na ma hitaji mengine ya nyumbani najikuta naweza tumia laki kwa siku kw amambo y akawaida tuu.

mh! hongera mwenzetu ..............ina maana Monday to Friday = 500,000/=??? kwa 20 working days in a month = ..........??? au nimekosea hesabu??? kweli vidole havilingani .........ukumbuke na MA-YATIMA ..... KUWAWEZESHA PIA
 
Chai rangi na bites- 500
Lunch - 1500
Maji ya kunywa - 500
Vocha - 2000
Mafuta - 5000
Dinner - 1500
Jumla - 11,000
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom