Kwa siku unakula sh ngapii???

Kwa siku unakula sh ngapii???

Kuna mtu kanipa yake
Chai na bites - 500
Lunch - 1000
Dinner - 1500
Vocha - 1000
Mafuta - 30,000!
Jumla - 34,000
Nimemshauri auze gari.
 
Fanya hivi,

1) Maji kunywa ofisini, (kuwa kama ngamia anaweza kustore maji ya siku arobaini tumboni) hapo unasave 2500,
2) Saa 10:30 au 11:00 asubuhi kunywa/kula brunch (breakfast and lunch) - chai, chapati 1,kipande cha kuku, andazi, soseji, kababu - 3,000
3) Mchana saa 03:30 pata matunda ya 1,000
4) Usiku Mtindi na mayai ya kuchemsha au wali mbogamboga - 2,000

Jumla unakuwa umetumia tshs - 6,000 unakuwa umesave 4,000.

Ushauri: Usitake kusave sana ...mambo adoado. Ukila mbofumbofu kwa madhumuni ya kusave sana unaweza ukajikuta unazitumia kwenye matibabu zote.
 
mh! hongera mwenzetu ..............ina maana Monday to Friday = 500,000/=??? kwa 20 working days in a month = ..........??? au nimekosea hesabu??? kweli vidole havilingani .........ukumbuke na MA-YATIMA ..... KUWAWEZESHA PIA

Yatima wapo na wasaidia tena sija weka cost yao, ambapo ni ada na living exp , pia kuna hao wengine sio mayatima ni vijana watatu ambao na wapa 5,000 a day.

Ukweli ni kwamba mbali na mengine na matumizi mabaya sana ya pesa na hizo pesa na na hitaji kujirekebisha kwa sababu kuna siku huwa ana chacha haraka.
 
Shida inayoonekana hapa ni tatizo la kipato, vinginevyo kutumia 10,000 kama uko single ni reasonable. Kama kipato hicho kinakutosha endelea tu matumizi hayo huwezi kuita ni matumizi mabaya.

Ingawa katika uhalisia wa mambo umezungumzia kula tu, ikumbukwe kwamba hata ku access JF ni gharama za maisha au unatumia huduma bure za ofisi?
 
pika sana sana wali wa kutosha,pamoja na mboga simple km mandondo,,then km unfriji weka hiyo menu humo,.the wali uohuo utatumia kwa chai,unabakisha tna kwenye friji huohuo lunch tna...unaweza kwa wali uliopka siku1 ukala siku3 mfululizo...hapo utakua umesave..
 
Kunywa chai nyumbani!Ule mkate mkubwa unakula mara nne!Mchana unaweza kula sehemu 2000tsh pamoja na maji..alafu jioni pika!Kupika kunasave sana!
 
Hujatwambia kama una dependants au uko mwenyewe mwenyewe, ila kama huna dependants hiyo amount unayotumia ni sawa tu vinginevyo ni bora ununue chakula kipikwe home. ni hayo tu
 
Watu ni vichwa ngumu kuelewa, jamaa kauliza unatumia shiling ngapi kwa siku wa ajili ya chakula hapa kila mtu ameanza kuorodhesha mpaka gharama za vocha,mafuta ya usafiri,nguo, pesa anazotoa kama msaada n.k inawezekana enzi za school maticha walikuwa wanapiga bakora nusu kuua,
na kama ni interview 90% wangekua wamefeli....m
Anyway, me natumia
Breakfast 4000 mpaka 5000 randomly maana menu huwa inabadilika kila siku
Lunch 3000
Vinywaji 3500 (Maji na Red Blue) au Maji na soda mbili (2600) haipo fixed pia lakini maji lita moja kila mchana.
Dinner nyumbani.
 
mi nimeona nijiachie tu manake ukibudget sana mwishoe unaanza kukonda
 
Bajeti muhimu ila kula vizuri muhimu zaidi.Anyway ktk ulaji wako,try to avoid those unnecessary luxuries,kwa mfano;pata chai ya kawaida asubuhi kwa maandazi,vitumbua au chapati badala ya supu na michapati ya mayai.Kwa lunch mchana;pata wali/ugali kwa nyama/samaki e.t.c si lazima upate soda au juisi ila maji safi ni muhimu na usiku jiandalie simple msosi iwe ugali/ndizi/viazi kwa mboga yoyote nzuri.
 
Watu ni vichwa ngumu kuelewa, jamaa kauliza unatumia shiling ngapi kwa siku wa ajili ya chakula hapa kila mtu ameanza kuorodhesha mpaka gharama za vocha,mafuta ya usafiri,nguo, pesa anazotoa kama msaada n.k inawezekana enzi za school maticha walikuwa wanapiga bakora nusu kuua,
na kama ni interview 90% wangekua wamefeli....m
Anyway, me natumia
Breakfast 4000 mpaka 5000 randomly maana menu huwa inabadilika kila siku
Lunch 3000
Vinywaji 3500 (Maji na Red Blue) au Maji na soda mbili (2600) haipo fixed pia lakini maji lita moja kila mchana.
Dinner nyumbani.
uko sahihi mkuu......mimi nawashangaa wana jf......yaani kichwa cha habari kinajieleza
 
Watu ni vichwa ngumu kuelewa, jamaa kauliza unatumia shiling ngapi kwa siku wa ajili ya chakula hapa kila mtu ameanza kuorodhesha mpaka gharama za vocha,mafuta ya usafiri,nguo, pesa anazotoa kama msaada n.k inawezekana enzi za school maticha walikuwa wanapiga bakora nusu kuua,
na kama ni interview 90% wangekua wamefeli....m
Anyway, me natumia
Breakfast 4000 mpaka 5000 randomly maana menu huwa inabadilika kila siku
Lunch 3000
Vinywaji 3500 (Maji na Red Blue) au Maji na soda mbili (2600) haipo fixed pia lakini maji lita moja kila mchana.
Dinner nyumbani.

kweli, watu wamempa hadi bajeti ya kuhonga. Lol!
Red blue ndio kinywaji gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom