JICHO LA 3 JF-Expert Member Oct 3, 2011 356 62 Nov 3, 2011 #2 :A S embarassed:whatiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii????????????????????
samora10 JF-Expert Member Jul 21, 2010 7,594 4,798 Nov 3, 2011 #5 JICHO LA 3 said: :A S embarassed:whatiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii???????????????????? Click to expand... habari ndio hiyo!
JICHO LA 3 said: :A S embarassed:whatiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii???????????????????? Click to expand... habari ndio hiyo!
Masikini_Jeuri JF-Expert Member Jan 19, 2010 6,829 1,296 Nov 3, 2011 #6 Yap; nawaunga mkono; kama wewe shida yako ni ndoa, liji HUMMER/ ML350 / TUAREG au Limo la kuazima la kazi gani? Kamata bajaji/trekta chukua kimwana wako haooooooooooo kwa raha zenu!
Yap; nawaunga mkono; kama wewe shida yako ni ndoa, liji HUMMER/ ML350 / TUAREG au Limo la kuazima la kazi gani? Kamata bajaji/trekta chukua kimwana wako haooooooooooo kwa raha zenu!
Power G JF-Expert Member Apr 20, 2011 3,886 1,194 Nov 3, 2011 #7 Huu ndiyo unaoitwa ubunifu. Siyo watu tunafanya mambo ya kukaririshwa siku zote. Tena na mimi niongezee usafiri mwingine: Attachments Harusi2.jpg 24.7 KB · Views: 31
Huu ndiyo unaoitwa ubunifu. Siyo watu tunafanya mambo ya kukaririshwa siku zote. Tena na mimi niongezee usafiri mwingine: