Kwa shida na kwa rahaa

kopuko

Senior Member
Oct 24, 2011
180
58
jf 1.jpg jf 2.jpg
 
Yap; nawaunga mkono; kama wewe shida yako ni ndoa, liji HUMMER/ ML350 / TUAREG au Limo la kuazima la kazi gani? Kamata bajaji/trekta chukua kimwana wako haooooooooooo kwa raha zenu!
 
Huu ndiyo unaoitwa ubunifu. Siyo watu tunafanya mambo ya kukaririshwa siku zote. Tena na mimi niongezee usafiri mwingine:
 

Attachments

  • Harusi2.jpg
    Harusi2.jpg
    24.7 KB · Views: 31
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom