johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,118
- 144,032
Fikiria Edwin Mtei anamwambia Mwalimu Nyerere "Mkuu Hapa hauko sahihi unapaswa kufanya hivi"
Hapo ni Gavana na Rais wanawasiliana.
Ujasiri huo haupo tena ndani ya Chama Dume tena awamu ya 5 ndio Ilikuwa kasheshe.
Alhamis Ubarikiwe Sana!
Hapo ni Gavana na Rais wanawasiliana.
Ujasiri huo haupo tena ndani ya Chama Dume tena awamu ya 5 ndio Ilikuwa kasheshe.
Alhamis Ubarikiwe Sana!