Kwa sasa ni vigumu kuwapata watu aina ya Edwin Mtei ndani ya CCM, wenye uwezo wa kuwashauri kwa kuwasahihisha Viongozi wa Juu

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,118
144,032
Fikiria Edwin Mtei anamwambia Mwalimu Nyerere "Mkuu Hapa hauko sahihi unapaswa kufanya hivi"

Hapo ni Gavana na Rais wanawasiliana.

Ujasiri huo haupo tena ndani ya Chama Dume tena awamu ya 5 ndio Ilikuwa kasheshe.

Alhamis Ubarikiwe Sana!
 
Back
Top Bottom