Kwa Rais Magufuli tu - Must Read 2017

Naomba namba ya JPM nijitoe mhanga nimfowadie haka ka walaka kazito sana, au nipe email take maana mimi sina cha kupoteza iwe milioni saba, kifungo au vyote viwili.
[emoji23] [emoji23] [emoji87]
 

Mada yetu ambayo imeelekezwa kwa Rais Magufuli iko tofauti sana na unachoandika ukiitazama kiujumla wake.

Labda uanzishe mada ya hili unalozungumzia halafu wadau watachangia na kuelimishana.
 
Acha urongo...mimi ni mtumishi wa umma na ninampenda mpaka wakati mwingine nakosa balance hata nisione makosa dhahiri yanayofanyika....Wasiompenda ni wale ma bwanyenye miungu watu waliokuwepo kwenye ofisi za umma...Be informed...Fanya utafiti uone!
Sasa kumbe nikwasababu unampenda mwambie akuoe basi maana inaonekana hata akikuomba tako utatoa tuu maana autaelewa ata umkataliaje
 
Mbona kuna mtuhumiwa wa ufisadi aliyethibitishwa na adhabu akapewa amekaribishwa kugombea ukuu wa nchi je angefanikiwa kuukwaa urais si naye angekuwa Rais Fisadi?
Hivi mahakama siimefunguliwa bado hawaja muandalia keso
 
Sasa kumbe nikwasababu unampenda mwambie akuoe basi maana inaonekana hata akikuomba tako utatoa tuu maana autaelewa ata umkataliaje
Inavyoonyesha una stress sana...relax life is so sweet usipokuwa na bitterness... Pole mweeh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…