Kwa Rais Magufuli tu - Must Read 2017

Kwani na yeye anasomaga haya maneno ? Kwani hii anajua bado iko?
 
Kwani na yeye anasomaga haya maneno ? Kwani hii anajua bado iko?

Anasoma kurasa zaidi ya 600 kwa siku. Yaani kamzidi Warren Buffet kusoma.

Labda sasa aanze kusoma na mambo ya uongozi, mahusiano, watu n.k imsaidie kwenye uongozi wake. Maana unapokuwa "(Emotional + Mechanical )" utahitaji sana "people skills" na "leadership wisdom" kusonga mbele vinginevyo utabaki na nia njema na matunda sifuri.

"listening is not just hearing"
 
Sidhani kama wewe ni mfanyakazi, labda housegirl/ houseboy. Mawazo yako hayawezi kuwa ya mtu mwenye ufahamu
 
Sidhani kama wewe ni mfanyakazi, labda housegirl/ houseboy. Mawazo yako hayawezi kuwa ya mtu mwenye ufahamu
Ni mfanya kazi mkuu naendesha maisha kwa pesa ya mshahara toka kwa bwana Pombe kiongozi.ila sina mihemuko huwa ninasubira nikijua serikali ya mzee Pombe bado changa.(mwaka mmoja sasa)
 
Nina wasiwasi na wewe! kama uu mfanyakazi kweli labda mpasua mbao misituni tena ya wizi! uandishi wako sio ya mfanyakazi bali kama mganja njaa wa Lumumba vile!
 
Nina wasiwasi na wewe! kama uu mfanyakazi kweli labda mpasua mbao misituni tena ya wizi! uandishi wako sio ya mfanyakazi bali kama mganja njaa wa Lumumba vile!
Ha ha ha ha ha sina elimu kama wewe mkuu ,mimi ni std 7 tu ila huo NI MTAZAMO TU
 
Mtoa mada hapa dah! Ungeangalia post yako kabla ya kutuma
 
Naomba namba ya JPM nijitoe mhanga nimfowadie haka ka walaka kazito sana, au nipe email take maana mimi sina cha kupoteza iwe milioni saba, kifungo au vyote viwili.
Kwa nn unasema huna cha Kupoteza? NIMECHEKA SANA.
Tunaweza kukukuta kwenye mfuko wa plastic kule mto ruvu. Ww huna chakupoteza lkn cc tutakuwa tumekupoteza uking'olewa kucha na meno
 
ukithubutu kusimama mbele yake, huku ukiwa unawaza kumshauli kitu. hahahahaahahahahaha
unaweza kugaili na kuishia kumsalimia tu.
 
ukithubutu kusimama mbele yake, huku ukiwa unawaza kumshauli kitu. hahahahaahahahahaha
unaweza kugaili na kuishia kumsalimia tu.

Na ndicho kinachowapata mawaziri wetu. Waulize mawaziri wakwambie.

Mmoja aliwahi kutoa mfano akisema "umewahi kusafiri na mtumbwi peke yako baharini usiku wa manane halafu ghafla unaona kama kivuli kinakujia kwa kasi kubwa kutoka mbali, na hujui ni binadamu au ni kitu gani" akasema ile hofu unayokuwa nayo ndiyo unayokuwa nayo unapokuwa mbele ya Magufuli ukitafakari namna ya kutamka jambo mbele yake.

Sijui kuna ukweli gani kwenye hilo. Na kama ni hivyo, sijui unatoaje ushauri au maoni au lolote la maana katika hali hiyo!.

Mkuu wa nchi "do not discourage opinions please! you need to be briefed, criticised, informed...e.t.c a lot more than you can think of..."
 
Article za kinafiki km enzi ya JK, wao huwa hawakosei.Ila watendaji wao tuu,hata wakibadilishwa hadi mwisho na matataizo yakiwa palepale watendaji ndio wabaya. Hata km unaweka mafuta usiweke ya kuzidi na kupotosha wengine kwanza ndipo hoja yako ije.Mara nyingine hayo mafuta yanakuja chafua hoja yako.
 
hahahahahahahahah duh!
 
Sasa hapa tusemeje? kwamba unatoa hoja, au unapinga hoja, au unamjibia aliyeandikiwa?
Inaonyesha umeanza kusoma tu ukapata kizunguzungu, na kabla ya kuelewa kilichoandikwa ukakurupuka na kuropoka kwa maandishi.
Ukitaka kushinda vita weka hasira kando, vaa hekima kisha songa mbele.
 
Sihitaji jua km upo upande wangu au lah.ILA DHANA KWAMBA WATENDAJI NDIO HAWAN AUWEZO WA WAKOSEFU SIIPENDI INAPOTOSHA WATANZANIA SANA.BORA USIITUMIE KABISA KM HUONI HASARA YAKE.HAKUNA ALIYEKULAZIMISHA IWEKA. NI TABIA SIKU HIZI HATA WANASIASA KUONGEA VITU NYENYE UJUMBE MWINGINE NA KUINGIZA JINA LA MUNGU KIRAHISI TUU.HIYO DHANA YA WATENDAJI KUWA SHIDA IMESHAPOTOSHA SANA WATANZANIA NA WANAFIKI WANAIFAIDI SANA KUJIPENDEKEZA KWA WALENGWA.
 
Mleta post kapost nahungu tupu, sisi ndiyo wafanya kazi, tunampenda JPM kwa akili zetu na miyo yetu yote kwa 100% ikiwezekana mara 1000 ya zamani.


wewe ni mfanya kazi wa ofisi gani usiyejua hata kuandika? labda ni mfanya kazi wa Lumumba.
nahungu tupu ni nini? miyo yetu ndio nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…