Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
wanajamvi hivi ni kwa nini wanaume huwa tunafarijika sana tunapogundua wanawake tuliowai lalana nao,wanatangaza ya kuwa Tunajua sana mapenzi,hata kuwavutia marafk zao kutamani kuwa na mahusino na sisi? Nawasilisha.