Kuna binti mmoja kila akija ghetto anadai awekewe hiyo nyimbo....ikishaanza kuimba tu analoa kabisa na anadai kiuno kinamuuma!!
Naona kabla mjadala wa kwa nini wanawake wanaupenda ungeanza wa kwa nini huyu mwanaume aliimba
Anaweza akawa nayeye ni wale wale wakina david cameron.