Bra-joe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,850
- 1,449
Habari Jf? Kupenda visivyo vyetu. Hii ni tabia ya watanzania wengi. Mifano: watu wengi wanashabikia mashindano ya mpira wa nje kuliko ya hapa Tz, mwanamke/mwanaume hata akiwa mbaya vipi akioa/olewa watu wengine watamtaka, akija mgeni kutoka nje ya nchi atashobokewa kuliko raia, tukiona kitu kimeandikwa kimetengenezwa Tz tunakitilia mashaka au hatukitaki kabisaa, mtu kuhudumia au kutoa penzi zaidi nje ya ndoa/mahusiano kuliko kwa mwenza wake. Tubadilikeni jamani! Vyetu ndiyo mpango mzima.