piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 612
atakupiga na bastola chezea mangi wewe
Hahahaha, ajichunge wasimmushi na kumnisi
atakupiga na bastola chezea mangi wewe
kwamtoro nafikiri hili ni tatizo la pande zote mbili kwani hata wanaume wenyewe sijwahi kuona mwanume anamwomba msamaha mzazi wake akiwa kapiga magoti au anambembelza mzazi wake huku analia :A S cry: :A S cry:lakini kwa wake/wapenzi wao magoti hupigwa na kilio :A S cry: :A S cry:hutolewa sasa hapo sijui :noidea: :noidea: :noidea:nini kinamotivate hayo hasa kwa wapenzi na sio wazazi!!!!!!!!!!!!!!
Upendo wa mzazi na wa mume ni vitu tofaut,mzazi hata umkosee vipi hawezi kukuacha mfano mdogo ni yule mwanampotevu pamoja na yote aliyofanya babae alimpokea na karamu alimfanyia. Ni tofauti kabisa na mume ama mpenzi ambae mda wowote anaeza kukatisha uhusiano,ndo mana wakati mwingine tunajitahidi kua wanyenyekevu kwao...
hivi ulishakosea mzazi
wewe ukaona kweli imemkera... mmh nadhani me nipo tofauti kabisa kuliko
nimuudhi mzazi wangu loh usingizi nakosa sipendi kabisa na mpaka
anisamaehe ......... mpenzi wangu nikiamua siombii msamaha...
Sasa inategemea na kosa
ulilomkosea mzazi,kwani kuomba msamaha lazima upige magoti??mim sjawah
kumpigia magoti mwanaume wao ndio hunipigiaa
Upendo wa mzazi na wa
mume ni vitu tofaut,mzazi hata umkosee vipi hawezi kukuacha mfano mdogo
ni yule mwanampotevu pamoja na yote aliyofanya babae alimpokea na karamu
alimfanyia. Ni tofauti kabisa na mume ama mpenzi ambae mda wowote
anaeza kukatisha uhusiano,ndo mana wakati mwingine tunajitahidi kua
wanyenyekevu kwao...
halafu wasiponyenyekewa watakuja hapa na thread,"wanawake ni majeuri"
Mhh......!!
Kunatofauti kubwa kati ya mpenzi wako na mwanaume/mwanamke wako