Ujue mimi wanawake huwa siwaelewi, utakuta wanawake wengi kichwani kajitengeneza nywele zake kwa bei mbaya pamoja na nguo zake za bei mbaya, angalia sasa watoto wao jinsi mavazi ya sagula sagula tandika yanavyo watoa.
Ujue mimi wanawake huwa siwaelewi, utakuta wanawake wengi kichwani kajitengeneza nywele zake kwa bei mbaya pamoja na nguo zake za bei mbaya, angalia sasa watoto wao jinsi mavazi ya sagula sagula tandika yanavyo watoa.
ndo kusema mwalim wao kafa au kichaa?
hivi ulishakosea mzazi wewe ukaona kweli imemkera... mmh nadhani me nipo tofauti kabisa kuliko nimuudhi mzazi wangu loh usingizi nakosa sipendi kabisa na mpaka anisamaehe ......... mpenzi wangu nikiamua siombii msamaha...
atakupiga na bastola chezea mangi wewe
Ujue mimi wanawake huwa siwaelewi, utakuta wanawake wengi kichwani kajitengeneza nywele zake kwa bei mbaya pamoja na nguo zake za bei mbaya, angalia sasa watoto wao jinsi mavazi ya sagula sagula tandika yanavyo watoa.