kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Pindi wakiwa wamewakosea wazazi wao, ni vigumu sana kuwapigia magoti na kuwaomba msamaha ili wasamehewe.
Cha ajabu ni wepesi sana kuwapigia magoti waume zao, mabwana zao.
Napata tabu sana kuelewa, hivi huwa wanaomba misamaha ya kweli au udelila tu.
Cha ajabu ni wepesi sana kuwapigia magoti waume zao, mabwana zao.
Napata tabu sana kuelewa, hivi huwa wanaomba misamaha ya kweli au udelila tu.