sababu zote zinaweza kuhusika, except for #2. kama mwanamke anasikilizwa na kuheshimiwa hawezi kamwe kujiskia kuwa amezeeka. mwanamke hazeeki,anazeeshwa! na hata issue ya kutoridhika na tendo la ndoa nalo limekaa kihisia zaidi. if u make her feel u like her man, yaani nadhani ni mteremko tu!sasa kama ni serial cheater,u dont spend time together, anakuwa anajiskia kama hgeli,hakuna heshima wala nini! unategemea nini?
turejee maandiko ya dini: wanaume wapendeni wake zenu, na wanawake watiini waume zenu! mwanamke akioneshwa kupendwa, yaani ni automatically atakutii na kukutumikia kwa uaminifu! lakini lazma mapenzi yaanze kwanza,ndo utii ufuate. mimi naamini wanawake ni waaminifu sana,lakini frustration ndo zinapelekea going astray! kuna watu ni serial cheaters,lakini mkewe humuambii kitu!of coz kuna black sheep kwenye kila jamii,na hapa ndipo sababu hizo hapo juu zinakuwa na maana