Kwa nini wanaume wengi ni vichaa kuliko wanawake

Kwa nini wanaume wengi ni vichaa kuliko wanawake

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,711
Reaction score
8,765
Kama mada inavyojieleza

Kwa muda mrefu wa maisha yangu nimekua nikikutana na vichaa, wengi wao ni wanaume

Sasa nashindwa kuelewa sababu inayosababisha kuwe na idadi kubwa ya vichaa wa kiume kuliko wa kike

Wanajamvi tujuzane sababu ipi inafanya hapa Tz kuwe na idadi kubwa ya vichaa wa kiume kuliko wa kike!!

Na mwisho nawatakia ushindi mnono timu ya taifa ya Algeria dhidi ya timu ya CCM kutoka TanzaniaView attachment 1143644
malazi.jpeg
images%20(8).jpeg
1477332883982.jpeg
 
Hata tunaohonga sana nakufanya kazi ngumu ili Malaya ashibe ni sisi,ndoa pia wanawake pia mnatusumbua
 
Watu wamevulugwa na maisha ndio mana vichaa moja haikai mbili haikai
 
Kwa vile wanaume tunapigika sana kusaka pesa mpaka dish linayumba mkuu
 
Hiyo ya Pili walisema eti ni moja ya wavaa miwani myeusi?😎
 
Kwanini watanzania wengi wana imani na chama chakavu cha CCM.

Jibu sahihi ni upungufu wa akili.
 
Hawa wanawake wanavotupa stress tuacha kuwa vichaa kweli?
 
1. Marijuana a.k.a bangi a.k.a cannabis a.k.a msuba
Wanaume wengi ndio watumiaji wa hii kitu.

2. Wizi
Wanaume ni wezi kuliko wanawake, sihitaji kueleza sana wanyonge huelekea wapi kuwashughulikia hawa watu.

3. Pilikapilika nyingi za maisha

4. Kichwa cha familia
n.k
 
Walahi nakwambia ndugu mwandishi Dunia ina mambo! ooops! msomaji bana;

Wanawake wanaroga sana ''me', na kwenye familia nyingi Mashangazi ni wachawi kufuru ya kupitliza

hawataki watoto wa kaka zao wapasue kwa sababu wifi zao watawaringishia na kutanua. pia ili wasije

kosa kutumia mali ya kaka yao pindi akifa, mtu anaitwa shangazi hawa kaa nao mbali. nzuri au mbaya kaka ana mkwanja, ikitokea shangazi amekupenda sana ujue umeumia.

picha inakuwa nzuri zaidi km wao hawana elimu wala kazi, wako tayari hata kumrogea kwenye mbunye shauri ya pesa.

Na vibinti vya familia wanajua vitaolewa havito kaa. hivi vinapigwa utasa tu, au umalaya ili visioleke.

Wanaume wanalishwa mno malimbwata, hata ambayo siyo, kuna viongozi wakubwa sana wa makampuni lkn ni ma house boy wa wake zao. ila sema tu Mungu aliwapa moyo wa chuma hawasemi.

Wanaume wanarogeka kirahisi mno huna ujanja. tena kuliko wanawake hata shangazi anapotaka kukukomesha anatumia kibinti, kupitia;

1) chakula, kwa wakubwa na wadogo, house keepers wanatumika sana. unaweza gundua hii km mke anajifanya hataki kuingia jikoni kukupikia, anamuachia house girl, kila kitu afanye yeye, kutandika kitanda nk. shtuka ili likibumbuluka (hasa kwa wale walo aga kwao). aulizwe msichana wa kazi

2)papuchi, hapa hata dawa za kulevya una nyonyeshwa tu,

3)nyonyo, pia hii km hapo juu

4)na always uchawi unapitia mdomoni kwanza,

5) Siku ya harusi ina mambo mengi. bora dsm wanaenda ukumbini km huna card ya mwaliko nenda nyumbani usubiri matokeo nk

Jambo lingine ni kwamba unamgegeda mdada weee miaka nenda rudi. siku ikifika una mtema km kamasi, unaoa mwingine tena kwa kumtamkia kabisaaa, hapa lazima urogwe ukichaa, hkn kitu inasumbua bidada km shela ya harusi, na ukirogewa hapa hautapona.

Ukitajirika tu heee! uwe makini, mali zooote mkeo anazitaka, kupitia ushauri wa mama, dada na kaka, hasa Uchagani , utarogeka tu tena basi kwa hela yako mwenyewe. ilikuwepo, ipo, itakuwepo, anaamini utaoa mwingine tu ili baadaye mke mdogo agombee Mali zako pindi ukifa. sasa lazima akuwahi.
au umuwahi wewe km uko vizuri ki illuminatt

La mwisho kurithi uchawi na Uganga wa ukoo, wanaume wengi wanakataaga, wanawake wanakubaliga ndo hii inafanya mashangazi kuwa wachawi, na hawasemi siri hii.
 
Back
Top Bottom