Kwa nini wanaume ndo target?

rrm72

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2015
Posts
508
Reaction score
300
Wana JF
Naomba kujuzwa, nimekuwa nikifuatilia matukio haya yaliyo mengi yanawahusu wanaume, kwa nini?
Mfano;
Dukani wanauza viagra_kwa ajili ya wanaume
Mganga has masai anauza daya _Dawa ya kuongeza nguvu_za kiume
Mganga ana dawa ya kumpata mpenzi mpya _mwanaume
Mganga ana dawa ya kumrudisha mpenzi _mwanaume
Mganga ana dawa ya kuongeza mapenzi katika ndoa-mlengwa mwanaume
Mganga ana dawa ya kupumbaza mtu _mlengwa mwanaume
kwa nin wanaume tu???
 
Kwa nini tusihusishe na ukata ullioko mikoani kama simiyu. Mmasai atapata mteja kweli?
 
[emoji981][emoji445]Wanaume tumeumbwa matesooo matesooo kuhangaika[emoji441][emoji445]
 
Tuweke kumbukumbu iliyozoeleka wakuu,
Watu wakisema mkoani humaanisha nje ya jiji la Dar es salaaam. Nadhani iko sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…