MSHUKU WA MANGI
Member
- May 7, 2012
- 18
- 4
Jamani nashindwa kuelewa mantiki hasa ya wabunge kupokelewa kwa maandamano pindi warudipo majimboni mwao baada ya kutemwa uwaziri.Au ndiyo staili mpya ya kusafishana?
Hawajaanza hawa kuanzia EL, mzee wa VIJISENTI nao ilikuwa hivyo, wana,obilise watu wao kwa kuwapa pesa ili waandae mambo yao.