Malikia wa uingereza ana asasi zake.Siyo kweli, Malkia/Ufalme ni Mkuu na Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi ya Uingereza
Wakitaka kumpindua wale majemedali wa jeshi wanapewa visichana vya ukoo wa kifalme baaaaaasi. wakila uloda wanasitisha zoezi la kupinduliwa.Hivi kwa nini hawafanyi Mapinduzi kama Ufaransa, Ujerumani au nchi nyingine za Ulaya na kuondoa Ufalme? Kwa nini wanakubali kuongozwa na Ufalme ambao kwanza ni foreigners hapo Visiwani?
Hapana co pambo, malkia anamamlaka makubwa sana ndani ya U.K. Anauwezo wa kumpiga chini wazir mkuu endapo atazinguaMalkia yupo kama pambo tu.
Shughuli zote kila kitu ni waziri mkuu.
Mfano km israel ushamskia rais wake?
Malkia yupo kama pambo tu.
Shughuli zote kila kitu ni waziri mkuu.
Mfano km israel ushamskia rais wake?
Usilete story za kutunga ,eti siyo waingereza ,yaani umesoma kitabu kilichoandikwa na wanaopinga ufalme wa UK.Hivi kwa nini hawafanyi Mapinduzi kama Ufaransa, Ujerumani au nchi nyingine za Ulaya na kuondoa Ufalme? Kwa nini wanakubali kuongozwa na Ufalme ambao kwanza ni foreigners hapo Visiwani?
Usilete story za kutunga ,eti siyo waingereza ,yaani umesoma kitabu kilichoandikwa na wanaopinga ufalme wa UK.
Halafu ww ni mbumbumbu mkubwa sana,malkia ana jeshi lake,royal army na jeshi la UK pia,hana sauti kama magufuli Tanzania,wenye sauti ni waingereza wote kupitia kwa waziri mkuu waliyemchagua kidemokrasia,sijui nikuambieje wewe pimbi uelewe.
Wafanye mapinduzi ya nini wakati wameridhika na jinsi taifa lao linavyoongozwa uchumi uko juu,huduma za afya ziko juu,ustawi wa jamii uko juu pamoja na huduma za afya ziko juu na ni bure kwa watu wa kipato cha chini, mbona nyiyi hampindui wakati hayo yote niliyoyaorodhesha yako kiwango cha chini kabisa.Hivi kwa nini hawafanyi Mapinduzi kama Ufaransa, Ujerumani au nchi nyingine za Ulaya na kuondoa Ufalme? Kwa nini wanakubali kuongozwa na Ufalme ambao kwanza ni foreigners hapo Visiwani?
Wayahudi haoHiyo familia siyo Waingereza!
Aliyekudanganya nani, waziri mkuu Kama house girl tu kazi zake zote anafanya kutokana na matakwa ya familia ya kifalme...ndo maaana ukichaguliwa tu ni lazima ukaonane na Queen kabla ya kuanza kaziMalkia yupo kama pambo tu.
Shughuli zote kila kitu ni waziri mkuu.
Mfano km israel ushamskia rais wake?
HahahahaKama watani zetu CHADEMA wao mwenyekiti wao ni Mbowe tu. Yaani hakuna hata Demokrasia kama jina la chama kinavyojiita.. Ukitaka kuitwa msaliti adui mkubwa wa CHADEMA ebu jaribu kugombea uenyekiti. Dunia hii bana watu wanajimilikisha chama, nchi hadi na mali zake..