fact only
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 975
- 1,356
Kama umesoma history utaelewa kuwa uhuru ulipitiliza ni hatari Kwa uhuru. Nakupa mfano zamani kabla yakuwepo Kwa vikwazo nchi zote zilikuwa huru kufanya chochote. Na huo uhuru ndiyo ulikuwa chanzo kikuu Cha vita ya duni 1 & 2 uhuru ulio pitiliza ni hatari Kwa uhuru. Pia hata pale Eden kulikuwa kuna uhuru mkubwa sana onakilicho tokea.Too much harmful ni kuwanyima watu uhuru