RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
Nimejiuliza hili swali kwa muda mrefu, kwa nini watz tunalalamika tu bila kuchua hatua? Wasomi wanalalamika, wasiosoma wanalalamika nani achukue hatua?
Hivi kweli tukiungana wtz wote, wasomi wetu, viongozi wa dini, viongozi wa vyama vya siasa hawa mafisadi watatushinda? Hatuwezi kweli kuuondoa ufumo tunao ulalamikia? Au tunalalmika kiunafiki na kwamba tunaupenda mfumo unaolea wahalifu ili na sisi tukipata nafasi tuwe hivyohivyo?
Utakuta mtu anasema mi sipendi siasa, lakini haachi kulalamika, anataka nani amsaidie kudai haki yake? Au pengine watu hawajui siasa manake nini?
Mbaya zaidi sikuhizi kumezuka matindo wa watu kusema huyo ni chadema eti kwa kuwa anadai haki yake, imekaaje hii?
Hivi kweli tukiungana wtz wote, wasomi wetu, viongozi wa dini, viongozi wa vyama vya siasa hawa mafisadi watatushinda? Hatuwezi kweli kuuondoa ufumo tunao ulalamikia? Au tunalalmika kiunafiki na kwamba tunaupenda mfumo unaolea wahalifu ili na sisi tukipata nafasi tuwe hivyohivyo?
Utakuta mtu anasema mi sipendi siasa, lakini haachi kulalamika, anataka nani amsaidie kudai haki yake? Au pengine watu hawajui siasa manake nini?
Mbaya zaidi sikuhizi kumezuka matindo wa watu kusema huyo ni chadema eti kwa kuwa anadai haki yake, imekaaje hii?