Pota
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 2,043
- 788
ni jadi yetu mgeni akikutembelea nyumbani ukamwandalia chochote, mfano chai,soda, maji ya kunywa nk. but kwanini ukimwandalia soda unaifungua mbele yake? ama bia pia unafungua mbele yake? je ni kutojiamini au mgeni wako anakosa imani na wewe?
na kama ndiyo basi kwa nini chakula, juice nk ulivyoviandaa mwenyewe hukuandalia
mbele yake? NAWASHILISHA HOJA
na kama ndiyo basi kwa nini chakula, juice nk ulivyoviandaa mwenyewe hukuandalia
mbele yake? NAWASHILISHA HOJA