Kwa nini TRA (Serikali) inalazimisha mashine ya EFD?

Kwa nini TRA (Serikali) inalazimisha mashine ya EFD?

Acha mashine hizo zitumike ili wafanyabiashara wasikwepe kulipa kodi. ZAMA za kuleta janja ya nyani kula mahindi mabichi zimepita. Ukichunguza vizuri utagundua wengi wao hawazitaki hizi mashine kwa sababu moja tu, hawataki serikali iyajue mapato yao, ili waendelee kukwepa kulipa kodi.
Mbona wafanyakazi walioajiriwa, iwe serikalini au private sectors wanakatwa kodi moja kwa moja kabla hata hawajapokea mishahara yao, na hawalalamiki, sawa iweje hawa wafanyabiashara wakagomee mfumo huu wa matumizi wa mashine za EFD?
Wafanyabiashara tubadilike.
Tulipe kodi Kwa maendeleo ya nchi yetu. Tazama jirani zetu Kenya, asilimia kubwa ya bajeti yao inatokana na mapato ya ndani, yaani mfumo mzuri uliowekwa wa ukusanyaji wa kodi, na kiasi kidogo sana cha bajeti yao kinatokana nchi wafathili.

Mjadala mzuri, ila wafanyabiashara wanaumia sana. Imagine Mashine 700,000, Leseni Sh 300,000, Bado SDL (0.06) Ya jumla ya mshahara, kodi ya pango ( varies), na mengine mengi. Na pia mfumo wa kodi haueleweki longolongo nyingi. TRA wanachohitaji ni target za kufikia kiwango walichojiwekea kama dira yao. Hebu cheki;-Mfanyabiashara mdogo analipa hadi milioni 3 kwa mwaka. Je yupo kwa ajili ya kuendeleza maisha yake au kuifaidisha serikali?. Tutafakari ukweli!, Mazingira rafiki hakuna , madhara ni tax evasion
 
hivi TRA au huyo kamishina ndio wanauza hizo mashine?
efd si imeanzishwa kisheria na bunge la tanzania ? mamlaka ni watekelezaji tu
umeshawahi kununua hizo mashine?

think before u ink! be a great thinker

Basi wakiletewa pendekezo au sheria ya kutokusanya kodi unafikiri watakaa kimya ?. Wahawana ushauri wowote wa kiuchumi?, au wamelenga tu kukusanya wakifikiri ndio kukuza uchumi?.

Sasa ni hivi: Baadhi ya madhara yanayoweza kujitokeza ni pamoja na haya:-

1. Vitu kupanda bei kwa kasi
2. Tax evasion
3. Kuongezeka udanganyifu wa makusudi
4.Kuanzishwa taasisi zenye mifumo ya kijamii
5.Kupungua kwa ajira -Kwa sababu ya vikwazo kibiashara.
6. Na mengine mengi

Ok!
 
Acha mashine hizo zitumike ili wafanyabiashara wasikwepe kulipa kodi. ZAMA za kuleta janja ya nyani kula mahindi mabichi zimepita. Ukichunguza vizuri utagundua wengi wao hawazitaki hizi mashine kwa sababu moja tu, hawataki serikali iyajue mapato yao, ili waendelee kukwepa kulipa kodi.
Mbona wafanyakazi walioajiriwa, iwe serikalini au private sectors wanakatwa kodi moja kwa moja kabla hata hawajapokea mishahara yao, na hawalalamiki, sawa iweje hawa wafanyabiashara wakagomee mfumo huu wa matumizi wa mashine za EFD?
Wafanyabiashara tubadilike.
Tulipe kodi Kwa maendeleo ya nchi yetu. Tazama jirani zetu Kenya, asilimia kubwa ya bajeti yao inatokana na mapato ya ndani, yaani mfumo mzuri uliowekwa wa ukusanyaji wa kodi, na kiasi kidogo sana cha bajeti yao kinatokana nchi wafathili.

Elewa EFD ni ya kukusanya kodi kwa wananchi na si kwa wafanyabiashara, mfanyabiashara ni wakala tu. Hivyo TRA na Serikali iseme ukweli na kuelimisha wananchi kuwa kila utakachonunua ongeza na asilimia 18 ya kodi. Mfano, kitu cha 80000 ya mfanyabiashara pia alipe 18000 ya TRA hivyo jumla 98000
 
Kwa jinsi ulivyoandika nimeshakuelewa wewe ni mtu wa aina gani!

Dogo Kunijua Kunifahamu Au Kunielewa Is Not A Big Deal... U Have 2 Come With Researched Fact & Not Imagination Facts... Mnaokota Maneno Kwenye Kahawa Na Vijiweni Mnatuletea Humu Alafu Mnajiona Mnajua!! Tabu Kweli Watoto Wa DOTCOM...! Kunielewa Itakusaidia Nini Jadili Mada Huwezi Kakojoe Ukalale...
 
Dogo Kunijua Kunifahamu Au Kunielewa Is Not A Big Deal... U Have 2 Come With Researched Fact & Not Imagination Facts... Mnaokota Maneno Kwenye Kahawa Na Vijiweni Mnatuletea Humu Alafu Mnajiona Mnajua!! Tabu Kweli Watoto Wa DOTCOM...! Kunielewa Itakusaidia Nini Jadili Mada Huwezi Kakojoe Ukalale...
poa nimeshakukojolea bao zakutosha dada!bado unataka tena
 
kukatwa wafanyakazi kwa uonevu siyo ishu kuwa wote waonewe... Tatizo unakuja na mawazo mgando na kudandia gari kwa mbele, hujajua sabb za efd kukataliwa unabwabwaja... Matatizo ya efd ni mengi uliza kwanz


Fafanua hayo matatizo ya EFD, sio unaongea kiujumlajumla.
 
Wanaongelea kuongeza zingine wakati hizi zilizopo tayari zimeshaanza kuwasumbua.Siku hizi EFD machine nizinapoteza Network connection kama Umeme unavyokatika ovyo.

Narudia hizi machine kwa wafanyabiashara kama wa Kariako na wengine wa sampuli kama yao ni pasua kichwa na itawalazimisha wale wenye mitaji midogo kufunga maduka /biashara zao.

Nawasi wasi huu unaweza kuwa mpango wa kuwafukuza kiana kwa soka la nguo na vitu vingine.

Ni suala lisilo pingika kuwa machine huzi zina gharama za uendeshaji ambazo mfanyabiashara lazima azilipie nje ya kuinunua
Mfano. Machine Service kwa mwezi 40,000-50,000
Charge lake na Betri ni kama 170,000
MMC(Kadi inayo hifadhi data) 150,000-200,0000.

Itakuwa ni jambo la ajabu na la kiunyonyaji kama TRA watashindwa kuainisha hizi gharama na kuangalia aina na level ya Biashara inayoweza kuhimili gharama hizi. Walete michanganuo na kuwapa wadau muda wa kuichallenge hizi data!

Note. Nakubaliana na umuhimu na ulazima wa kukusanya Kodi ,lakini usanyaji wa Kodi usiozingatia uhalisia ni Unyonyaji na Ukatili dhidi ya Binadamu.
 
Mtazamo Wa Kijinga Huo Kaka... Kawaida Ungekuwa Na Uhakika Na Mtazamo Ningekusifu... Lakn Mtazamo Wa Kukurupuka Co Dili Wangu... Wafanyakazi Wanakatwa Kodi Kwa Uonevu Na Kila Cku Wanalalamika Makato Yapungue Nashanga Wewe Kuniambia Hawalalamiki Cjui Wewe Wa Wapi?

Hivi ulishawahi kiona wapi duniani wananchi wanapesa nyingi kuliko serikali,kama hiyo nchi sio Tanzania pekee?
Ngoja sasa niondoe matope yaliyojaa kichwani mwako.
Naposema wananchi hapa nawalenga wafanyabiashara.Mfano mxuri ni wale waliozigomea hizo mashine, wafanyabiashara wa K'koo, walipoulizwa ni kwanini wanazikataa, walichokijibu sio ulichosema wewe,inaonekana hata habari huangalii/ husikilizi kabisa. Nakupa home work nenda katafute sababu kuu za wao kukataa hizo mashine, then ndio uanze kuchangia huu uzi.
 
Mfumo sahihi wa kulipa kodi ndio utakaotuondoa kuwa Taifa tegemezi. Uzalendo ni pamoja na kulipa kodi.

Nakubaliana nawe, sio watu wengine kazi yao ni kulalama bila facts za ukweli,wanachukua maneno katika madaladala ndio wanafikiri hoja nzito,hawashirikishi hata cerebrum na medula zao,mwishoni wanakuja kuyamwaga kama yalivyo humu.
Umetoa solution inayomake sense.
 
Elewa EFD ni ya kukusanya kodi kwa wananchi na si kwa wafanyabiashara, mfanyabiashara ni wakala tu.

Naona sasa jinsi gani umeamua kujichanganya mwenyewe.
Embu rudia kusoma statement yako tena.
 
Hivi ulishawahi kiona wapi duniani wananchi wanapesa nyingi kuliko serikali,kama hiyo nchi sio Tanzania pekee?
Ngoja sasa niondoe matope yaliyojaa kichwani mwako.
Naposema wananchi hapa nawalenga wafanyabiashara.Mfano mxuri ni wale waliozigomea hizo mashine, wafanyabiashara wa K'koo, walipoulizwa ni kwanini wanazikataa, walichokijibu sio ulichosema wewe,inaonekana hata habari huangalii/ husikilizi kabisa. Nakupa home work nenda katafute sababu kuu za wao kukataa hizo mashine, then ndio uanze kuchangia huu uzi.
mimi nipo kkoo ndugu usiongee usioyajua. kkoo wale unaowajua wana magorofa weng wako shea na viongoz wako wa juu serikalin hasa TRA. shida iko kwetu cc wenye misingi membamba.
 
mimi nipo kkoo ndugu usiongee usioyajua. kkoo wale unaowajua wana magorofa weng wako shea na viongoz wako wa juu serikalin hasa TRA. shida iko kwetu cc wenye misingi membamba.

Inaonekana wewe ndio hufahamu ni kwanini mashine hizo wafanyabiashara walizigomea, ingawaje upo K'koo,tena ni mfanyabiashara. Usiongelee tetesi, elezea kwanini mlizigomea.
By the way, naipongeza Serikali kwa kutoa tamko kali kwa mfanyabiashara yeyote yule atakayegoma.
 
Back
Top Bottom