Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,268
- 14,926
Kwa nini watu wengi wanaandika majina yao kwa kutumia herufi mbili kwa mf. Zitto na Sio Zito, ao Wassira na Wasira? hiyo "ss" au "tt" inatamkwaje? kwa maana "s" au "t" inaeleweka inavyotamkwa, sasa zikiwa mbili inakuwaje, na ni lugha ghani inatumika kutamka hizo tt au ss mbili?