Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,291
Lengo la shule ni kumuandaa mwanafunzi aweze kuyakabili mazingira yake pindi amalizapo shule. Mazingira ya siku hizi ni pamoja na simu za viganjani. Ni kwa nini basi mashule mengi ya Tanzania simu za viganjani ni verboten?
Kwenye mashule mengi mwanafunzi kukutwa na simu ni kosa la kufukuzwa shule papohapo. Kwa nini?
Shule za nchi nyingine wanaruhusu wanafunzi wao kwenda na simu za viganjani, lakini wanawapa masharti ya kuzitumia wawapo shuleni. Wanafunzi wa mashule yetu wataweza kushindana na wa mashule hayo kwa usawa?
Simu za viganjani ziendelee kuzuiwa au ziruhusiwe kwa wanafunzi wa mashule ya Tanzania?
Mifano ya shule zinazoruhusu matumizi ya simu:
Willunga High School :: Mobile Phone Policy
Mobile Phone Policy
Mobile Phone Policy – Darwen Vale High School
Kwenye mashule mengi mwanafunzi kukutwa na simu ni kosa la kufukuzwa shule papohapo. Kwa nini?
Shule za nchi nyingine wanaruhusu wanafunzi wao kwenda na simu za viganjani, lakini wanawapa masharti ya kuzitumia wawapo shuleni. Wanafunzi wa mashule yetu wataweza kushindana na wa mashule hayo kwa usawa?
Simu za viganjani ziendelee kuzuiwa au ziruhusiwe kwa wanafunzi wa mashule ya Tanzania?
Mifano ya shule zinazoruhusu matumizi ya simu:
Willunga High School :: Mobile Phone Policy
Mobile Phone Policy
Mobile Phone Policy – Darwen Vale High School