kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Habari wana JF
Hapa mtaani nimeshuhudia ndoa kama 4 hivi zimevunjika na hazijadumu zaidi ya miaka miwili, pia nina rafiki zangu ambao nimesoma nao chuo kikuu nao ndoa zao zimevunjika wakati muda si mrefu walikua wakitusumbua kwa michango ya send off na harusi.
Bado najiuliza tatizo ni nini tofauti na wazee wetu wao wamefanikiwa kutulia kwenye ndoa zao mpaka katika umri wao huu wa uzee
Hapa mtaani nimeshuhudia ndoa kama 4 hivi zimevunjika na hazijadumu zaidi ya miaka miwili, pia nina rafiki zangu ambao nimesoma nao chuo kikuu nao ndoa zao zimevunjika wakati muda si mrefu walikua wakitusumbua kwa michango ya send off na harusi.
Bado najiuliza tatizo ni nini tofauti na wazee wetu wao wamefanikiwa kutulia kwenye ndoa zao mpaka katika umri wao huu wa uzee