Kwa nini pesa za noti za Tanzania hazina mwaka

displayname

JF-Expert Member
Feb 15, 2013
1,972
1,085
Wanajamvi nimekuwa nikiitazama sana shilingi yetu hasa ya noti sijaona mwaka unaonyesha lini noti husika imeprintiwa/tolewa.

Ni sarafu yetu tu ndio ina mwaka.

Fedha za wenzetu wameweka mwaka tazama US dola nk.

Watu wa maswala ya fedha nisaidie kufahamu hilo swala je mwaka una umuhimu gani kuwepo katika fedha, na kama upo umuhimu mbona ya kwetu haina?! Je wamesahau hao waliobuni hiyo noti au wanamaanisha nini?!

Naomba ufafanuzi!
 
Noti za madafu hamna haja ya kuweka mwaka bana. Huwa hazina muda maalum wa kutumika, ni mpaka siku tukiamua kuchapisha zingine
 
Noti za madafu hamna haja ya kuweka mwaka bana. Huwa hazina muda maalum wa kutumika, ni mpaka siku tukiamua kuchapisha zingine
Chifu77 isije ukawa upo BOT ndio wa kwepa kwa sababu zako hizo haha haha kwani mwaka ni kiashilia cha mwisho wa matumizi?!
 
Mkuu hata mimi huwa najiuliza sana hili suala. Mi naona hapo walichemka kwan nchi nyingi hela zao zina mwaka wa kuchapishwa, na hii ni muhimu ili kudhibiti wale wanaohodhi fedha bila kuziweka kwenye mzunguko wa matumizi. Mfano leo hii dola ya mwaka 199 au 2003 ukitaka kubadilisha ili upate shiling thaman yake sio sawa na dola ya 2013. Wakat umefika sasa wa kuweka mwaka kwenye noti zetu ili kuziongezea thaman hela zetu.
 
Mkuu hata mimi huwa najiuliza sana hili suala. Mi naona hapo walichemka kwan nchi nyingi hela zao zina mwaka wa kuchapishwa, na hii ni muhimu ili kudhibiti wale wanaohodhi fedha bila kuziweka kwenye mzunguko wa matumizi. Mfano leo hii dola ya mwaka 199 au 2003 ukitaka kubadilisha ili upate shiling thaman yake sio sawa na dola ya 2013. Wakat umefika sasa wa kuweka mwaka kwenye noti zetu ili kuziongezea thaman hela zetu.

umenena mdau, mwaka ni muhumi kuwepo, wacha tusubiri wadau wa BOT na fedha waje watujuze....tu vute subira wamalizie wikiend vyama.!!
 
Mkuu hata mimi huwa najiuliza sana hili suala. Mi naona hapo walichemka kwan nchi nyingi hela zao zina mwaka wa kuchapishwa, na hii ni muhimu ili kudhibiti wale wanaohodhi fedha bila kuziweka kwenye mzunguko wa matumizi. Mfano leo hii dola ya mwaka 199 au 2003 ukitaka kubadilisha ili upate shiling thaman yake sio sawa na dola ya 2013. Wakat umefika sasa wa kuweka mwaka kwenye noti zetu ili kuziongezea thaman hela zetu.
Itakuwa shida sana maana noti zetu ni disposable kama tishu. Mwaka tu inakuwa imeshachoka sana.
 
Itakuwa shida sana maana noti zetu ni disposable kama tishu. Mwaka tu inakuwa imeshachoka sana.
Hata kama zachoka mapema mwaka muhimu pia kuwepo na sheria ya watu kukataapokea pesa iliuokunjwa mara nyingi mbona dola wamemudi itunza why not shilingi yetu.

Binafsi pesa iliyochakaa sipokei!
 
Back
Top Bottom