Kwa nini ni Tanzania pekee miongoni mwa nchi zote za Jumuia ya Madola ambako Bunge limekuwa ni Holday Camp? Sehemu ya show off?

Kwa nini ni Tanzania pekee miongoni mwa nchi zote za Jumuia ya Madola ambako Bunge limekuwa ni Holday Camp? Sehemu ya show off?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
5,487
Reaction score
14,064
Nimekuwa nafuatulia Mabunge mengi hasa yanayo fuata mfumo wa Jumuia ya Madola,nafuatailia sana Bunge la Kenya, Uganda, Zambia, Malawi, South Africa na hata nje ya Africa, Ila pia nimekuwa nafuatilia mabunge mengine yasio fuata mfumo wa Jumuia ya Madola kama Rwanda, Burundi, DRC na kadhalika.

Kote huko Bunge ni sehemu ya kujadili mwaswala magumu sana ya nchi, pigia mstari maswala magummu sana. Mabunge yao kamwe sio kituo cha kujadili ujinga wala kuwa Holday Camp.

Bunge la Kenya nalifuatiliaga sijawahi ona wala kusikia Wakenya wanaenda kutembelea Bunge wala sijui wageni wa Mbu ai wamatambulishwa Bungeni, huo ujinga haupo, Kenya ina wanariadha maarufu mno hasa wale wana riadha ambao wameisha iletea nchi yao medali za dhahabu za kutosha za Olimpic na Mashindano ya Dunia ya riadha. Wale wanariadha wa Kenya hawajwahi kanyaga Bungeni, hawajui Bunge linafananaje

Nchi zote ukitoa Tanzania ni rahisi sana kutembelea ikulu ila sio Bungeni, Bungeni kuanaaminika ni sehemu ya mambo sereouse tu,

Sasa Tanzania Bungeni kumegeuka kuwa ni Holday Camp, ni sehemu ya watu kwenda kufanya show offf daily, basi mtu aende mara moja, hapana unakuta mtu ameisha tembelea Bunge mara hadi 4 ndani ya mwaka mmoja tu. Hao Yanga na Simba sijiui kuba kikao cha Bunge kinaisha hawajaenda Bungeni.

Hizo nchi zingine hawawapendi raia wao jibu ni wanawapenda ila hata raia wao hawaoni umuhimu wa kwenda Bungeni na pia Bunge liko serious na mambo yanayo husu nchi na sio Bunge linalo kaa kujadili Yanga na Simba.

Hata Mataifa yalio twaa World cup huwezi kuta Bunge la nchi linaanza kujadili ushindi wa nchi kwenye world cup, Sasa tuna Bunge ambalo maswala muhimu hayajadiliwi bali ni kijadili vitu rahisi rahisi tu kama kujadili Yanga na Simba huu ni ujinga.
 
Nimekuwa nafuatulia Mabunge mengi hasa yanayo fuata mfumo wa Jumuia ya Madola,nafuatailia sana Bunge la Kenya, Uganda, Zambia, Malawi, South Africa na hata nje ya Africa, Ila pia nimekuwa nafuatilia mabunge mengine yasio fuata mfumo wa Jumuia ya Madola kama Rwanda, Burundi, DRC na kadhalika.

Kote huko Bunge ni sehemu ya kujadili mwaswala magumu sana ya nchi, pigia mstari maswala magummu sana. Mabunge yao kamwe sio kituo cha kujadili ujinga wala kuwa Holday Camp.

Bunge la Kenya nalifuatiliaga sijawahi ona wala kusikia Wakenya wanaenda kutembelea Bunge wala sijui wageni wa Mbu ai wamatambulishwa Bungeni, huo ujinga haupo, Kenya ina wanariadha maarufu mno hasa wale wana riadha ambao wameisha iletea nchi yao medali za dhahabu za kutosha za Olimpic na Mashindano ya Dunia ya riadha. Wale wanariadha wa Kenya hawajwahi kanyaga Bungeni, hawajui Bunge linafananaje

Nchi zote ukitoa Tanzania ni rahisi sana kutembelea ikulu ila sio Bungeni, Bungeni kuanaaminika ni sehemu ya mambo sereouse tu,

Sasa Tanzania Bungeni kumegeuka kuwa ni Holday Camp, ni sehemu ya watu kwenda kufanya show offf daily, basi mtu aende mara moja, hapana unakuta mtu ameisha tembelea Bunge mara hadi 4 ndani ya mwaka mmoja tu. Hao Yanga na Simba sijiui kuba kikao cha Bunge kinaisha hawajaenda Bungeni.

Hizo nchi zingine hawawapendi raia wao jibu ni wanawapenda ila hata raia wao hawaoni umuhimu wa kwenda Bungeni na pia Bunge liko serious na mambo yanayo husu nchi na sio Bunge linalo kaa kujadili Yanga na Simba.

Hata Mataifa yalio twaa World cup huwezi kuta Bunge la nchi linaanza kujadili ushindi wa nchi kwenye world cup, Sasa tuna Bunge ambalo maswala muhimu hayajadiliwi bali ni kijadili vitu rahisi rahisi tu kama kujadili Yanga na Simba huu ni ujinga.
Uzi maridhawa ila umekosa wachangiaji
 
Ndugu zangu watanzania, msema kweli ni mpenzi wa Mungu.. ninawaambia Mtanikumbuka.
 
Tatizo ni spika. Spika wetu hapendi mijadala migumu, anakataa kujadili utekaji wa raia lkn anakubali kujadili marudio ya mechi ya Simba na yanga!
 
Tatizo ni spika. Spika wetu hapendi mijadala migumu, anakataa kujadili utekaji wa raia lkn anakubali kujadili marudio ya mechi ya Simba na yanga!
Tatizo la utekaji ni serious kesi, unapoleta tuhuma yoyote ile,ilete na ushahidi usio achaa shaka na uwone jinsi wahusika watakavyo lifanyia kazi kwa haraka!!
 
Tz ipo mbele sana ya muda. Hayo yanayofanyika kwenye mabunge mengine hapa yalifanyika Enzi za mwalimu. Wakati huu ni wakati wa kula matunda
 
Tatizo la utekaji ni serious kesi, unapoleta tuhuma yoyote ile,ilete na ushahidi usio achaa shaka na uwone jinsi wahusika watakavyo lifanyia kazi kwa haraka!!
Wakitaka ushahidi walete wachunguzi wa kimataifa na si hawa wa kwetu.
 
Wakitaka ushahidi walete wachunguzi wa kimataifa na si hawa wa kwetu.
Wachunguzi wa kimataifa hapa Tanzania bila ya kua na Watumishi wa local kazi bure, local ndiyo ana info zote za kitaa!!
 
Tatizo la utekaji ni serious kesi, unapoleta tuhuma yoyote ile,ilete na ushahidi usio achaa shaka na uwone jinsi wahusika watakavyo lifanyia kazi kwa haraka!!
Wahusika ndio watuhumiwa, huwezi tenganisha watawala na watekaji
 
Wahusika ndio watuhumiwa, huwezi tenganisha watawala na watekaji
Kwa ushahidi usio achaa shaka, waweza kuwatenganisha,maana wahuni wapo kila sehemu, ni ushahidi tu usio achaa shaka tu ndiyo unawavua nguo hadharani!!
 
Back
Top Bottom