.
Naona kama tumetegwa zaidi ya kutaka kujifunza.
Kwa upande wetu sisi watu tutakaojibu kiimani ni kwamba, bikra kwa maana ya hymen haipo kwa viumbe wote wa kike, ipo tu kwa binadamu.
Kazi yake kubwa ni kuonyesha upya wa mke maana netural haikubaliani na mke kuwa na mme zaidi ya mmoja. Na ndio maana hamna sababu yeyote ambayo inamwezesha mme kumwacha mkewe na kumuoa mwingine isipokua tu kwa sababu moja tu, nayo ni uasherati, iileweke sio uzinzi (mat 19:9).
Imekuwa hivi kwa jike la binadamu tu na wala sii kwa majike ya viumbe vingine, maana majike mengine yote yapo katika uumbaji wa Mungu wa asili tofauti na jike la binadamu, yeye ametenganishwa kutoka kwa mwanamume aliye katika uumbaji wa asili wa Mungu.
Tunachoshindwa kujifunza katika netural ni kwamba jike la binadamu ndio pekee lenye maumbile danganyifu. Na ndio pekee linaloweza kuwa lizinzi katika majike ya viumbe vyote. na ni kwa jike tu la binadamu ndio wazuri(warembo), kwani viumbe wengine madume ndio warembo mfano Jogoo, simba, farasi nk.
Nasita kuendelea zaidi ya hapa maana siamini kama huku Jf hawatembelei under 18.
Mke ambae hajapoteza asili yake ameumbiwa dalili ya kumilikiwa kichwani na mme.
Nisimamie hapa kwa kusema kwamba bikra(hymen) ipo kwa mwanamke tu kwa sababu asili inafundisha kwamba mwanamume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanamume.(1corr 11:9)
.
Umesema kazi yake ni kuonyesha upya wa mwanamke na kuwa mwanamke ameumbwa kwa ajili wa mwanaume. Kwa hiyo unasema kuwa Mungu ni mbaguzi na anapenda jinsia moja zaidi ya nyingine? Kwa nini aweke bikra kwa moja kwa kusudi la kuzuia uasherati lakini asiweke kwa hiyo jinsia nyingine? ina maana Mungu hajali kama wanaume wanavunja amri ya 6?
.
Mungu sio mbaguzi na wala kamwe karama zake hazina majuto.
Ni kwa nini katika plani yake ya uumbaji aliahamua hivyo sisi hatujui, tunapaswa tu kukubaliana nae kwa kumwamini. Na uhalisia ni kwamba ili kuwe na development ya chochote ni lazima hali zitofautiane. Haiwezekani earth(ardhi) iwe mbegu ua mbegu iwe ardhi, lazima kila kimoja kikubali kuwa kile kilicho. Mwanaume ndie mwenye mbegu ya uhai na mwanamke yeye ana yai la kuirutubisha hii mbegu. Hivyo mmoja ni mbegu na wa pili ni mfano wa shamba.
Mungu hamruhusu mwanamme kuvunja amri ya 6 ndio maana aliamrisha kila mtu na awe na mke wake mwenyewe. Kwa habari ya kuwa na wake wingi kama ilivyokuwa wakati wa agano la kale, yalikuwa ni mapenzi ya Mungu yaliyoridhiwa tu na hayakuwa mapenzi makamilifu.
Ni sawa tu na hili jipya mwanamke hulazimika kumueleza mme atakayemuoa status zake kama ni bikira ama la. Ikiwa mme atakubalikumchukua hata kama sio bikira basi ni kusema kuwa amemtakasa na linaingia moyoni mwa Mungu kuwa yule mama ni binti bikira, kwa kuruhusika na wala sii katika ukamilifu wake kwa asili.
.
.
Naona kama tumetegwa zaidi ya kutaka kujifunza.
Kwa upande wetu sisi watu tutakaojibu kiimani ni kwamba, bikra kwa maana ya hymen haipo kwa viumbe wote wa kike, ipo tu kwa binadamu.
Kazi yake kubwa ni kuonyesha upya wa mke maana netural haikubaliani na mke kuwa na mme zaidi ya mmoja. Na ndio maana hamna sababu yeyote ambayo inamwezesha mme kumwacha mkewe na kumuoa mwingine isipokua tu kwa sababu moja tu, nayo ni uasherati, iileweke sio uzinzi (mat 19:9).
Imekuwa hivi kwa jike la binadamu tu na wala sii kwa majike ya viumbe vingine, maana majike mengine yote yapo katika uumbaji wa Mungu wa asili tofauti na jike la binadamu, yeye ametenganishwa kutoka kwa mwanamume aliye katika uumbaji wa asili wa Mungu.
Tunachoshindwa kujifunza katika netural ni kwamba jike la binadamu ndio pekee lenye maumbile danganyifu. Na ndio pekee linaloweza kuwa lizinzi katika majike ya viumbe vyote. na ni kwa jike tu la binadamu ndio wazuri(warembo), kwani viumbe wengine madume ndio warembo mfano Jogoo, simba, farasi nk.
Nasita kuendelea zaidi ya hapa maana siamini kama huku Jf hawatembelei under 18.
Mke ambae hajapoteza asili yake ameumbiwa dalili ya kumilikiwa kichwani na mme.
Nisimamie hapa kwa kusema kwamba bikra(hymen) ipo kwa mwanamke tu kwa sababu asili inafundisha kwamba mwanamume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanamume.(1corr 11:9)
.
.
Naona kama tumetegwa zaidi ya kutaka kujifunza.
Kwa upande wetu sisi watu tutakaojibu kiimani ni kwamba, bikra kwa maana ya hymen haipo kwa viumbe wote wa kike, ipo tu kwa binadamu.
Kazi yake kubwa ni kuonyesha upya wa mke maana netural haikubaliani na mke kuwa na mme zaidi ya mmoja. Na ndio maana hamna sababu yeyote ambayo inamwezesha mme kumwacha mkewe na kumuoa mwingine isipokua tu kwa sababu moja tu, nayo ni uasherati, iileweke sio uzinzi (mat 19:9).
Imekuwa hivi kwa jike la binadamu tu na wala sii kwa majike ya viumbe vingine, maana majike mengine yote yapo katika uumbaji wa Mungu wa asili tofauti na jike la binadamu, yeye ametenganishwa kutoka kwa mwanamume aliye katika uumbaji wa asili wa Mungu.
Tunachoshindwa kujifunza katika netural ni kwamba jike la binadamu ndio pekee lenye maumbile danganyifu. Na ndio pekee linaloweza kuwa lizinzi katika majike ya viumbe vyote. na ni kwa jike tu la binadamu ndio wazuri(warembo), kwani viumbe wengine madume ndio warembo mfano Jogoo, simba, farasi nk.
Nasita kuendelea zaidi ya hapa maana siamini kama huku Jf hawatembelei under 18.
Mke ambae hajapoteza asili yake ameumbiwa dalili ya kumilikiwa kichwani na mme.
Nisimamie hapa kwa kusema kwamba bikra(hymen) ipo kwa mwanamke tu kwa sababu asili inafundisha kwamba mwanamume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanamume.(1corr 11:9)
.
Kwanza neturlal is supposed to be written "nature"; then you arguments are erroneous indeed...hujui maandiko wala logic...tena u male chauvinist....
Akishaipoteza zile dalili za kumilikiwa kichwani na mume zinapotea mkuu? Tafadhali fafanua hapo ati!!