demokrasia
Member
- Apr 6, 2011
- 52
- 5
Ccm inafahamu kuwa hali yao ya kisiasa kanda ya ziwa sio nzuri.kanda ya ziwa ni moja ya kanda inayoongoza kwa kuichoka ccm.ndio maana wameweka vituo vya kukusanyia maoni huko kwa waswahili ambako ccm inakubalika. Tunajua ccm kimebaki kuwa chama cha waswahili. Wastaarabu wamekichoka.