Kwa nini mkewe IDRISSA ABDUL WAKIL hatembelewi?

Kwa nini mkewe IDRISSA ABDUL WAKIL hatembelewi?

Nyerere ni superstar huwezi ukamlinganisha na Idrissa adul Wakil. Kwa hyo mama maria nyerere anapata publicity kutokana na legacy ya nyerere. Huyu Idrissa hata mimi sijui historia yake labda mzee mohamed said atupe historia yake
 
kwa hiyo roho inakuuma sio?kwani huyu mama ni mama yako au mama mkwe wako?kafanye kazi acha kukomalia mambo yasiyo na msingi
 
Jaman huo ndiyo u~great thinker kweli jaman?? nahis jf imevamiwa na wahuni, badala ya kujibu hoja ninyi mnamshambulia mleta hoja! huo c uungwana wakuu, tubadilikeni!
 
Back
Top Bottom