Kwa nini Mahitaji ya shule huongezeka baada ya mwanafunzi kuanza?

Kwa nini Mahitaji ya shule huongezeka baada ya mwanafunzi kuanza?

usikubali

New Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
1
Reaction score
1
Serikali na taasisi zake kwanini wanafanya Mambo kienyeji Sana? Mfano shule zao za o level unapomwanzisha mtoto mahitaji yanakuwa kwenye fomu.

Lakini akiwa ameanza mara mtoto atakwambia kuna masomo mawili yameongezeka ambayo kimsingi ktk dunia ya ushindani wa elimu sioni kama yanasaidia.

Hata ikiwa uratibu ungekuwa vizuri lakini kwanini mahitaji ambayo hayapo kwenye fomu yaje baadaye?

Halafu vimichango vya welcome form one kwangu naona havinaga msingi badala ya kuwa bize kufundisha mnahangaika na vitu vya kishamba tu si poa.
 
Serikali na taasisi zake kwanini wanafanya Mambo kienyeji Sana? Mfano shule zao za o level unapomwanzisha mtoto mahitaji yanakuwa kwenye fomu.

Lakini akiwa ameanza mara mtoto atakwambia kuna masomo mawili yameongezeka ambayo kimsingi ktk dunia ya ushindani wa elimu sioni kama yanasaidia.

Hata ikiwa uratibu ungekuwa vizuri lakini kwanini mahitaji ambayo hayapo kwenye fomu yaje baadaye?

Halafu vimichango vya welcome form one kwangu naona havinaga msingi badala ya kuwa bize kufundisha mnahangaika na vitu vya kishamba tu si poa.
Tafuta hela dogo.
 
Back
Top Bottom