Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,349
- 8,081
!
!
nimegundua kuwa miskanio karibu yote ni ya duara
!
nimegundua kuwa miskanio karibu yote ni ya duara
nimegundua una matani ya kijingaMimi nimegungua Mara nyingi magari huenda mbele na Mara cha he nyum
Nimegundua kuwa magari mabovu hupelekwa kwenye karakana
Nimedundua pia matairi yake huzunguka.
Nimegungua uskani wa gari upo mbele
Nimegungua mbele lazima kuwa na matairi mawili
Nimegundua kuwa magari mengi hutumia mafuta
Ulitumia methodology gani ya sampling?
Ulitumia methodology gani ya sampling?
masopakyindi majibu sahihi ni haya ya adolay1. Magari meusi si salama sana maana hayaonekani barabarani yanafanana na lami. (Yanavutia kwa mtazamo lakini sio salama)
4. Magari meupe yanavutia na kiusalama nimazuri sana, lakini dosari kidogo ya rangi inachafua taswira na muonekano wa gari
5. Magari ya rangi ya silver
-Kiusalama, yanaonekana vema barabarani, inakaribiana na nyeupe.
-Haichomi macho, wala kutisha kama ilivyo red
-Gari ikisafiri hata barabara ya vumbi bado itaonekana vizuri kuliko nyeupe yaani inaficha uchakavu hata uchafu.
Rangi zingine bado kushindana na silver nivigumu sana, maana silver inabeba hata wapenzi wa gari nyeupe, samawati na pink.
Ukikuya tairi ya square ni PM!