Kwa nini magari mengi yana rangi ya silver?

Kwa nini magari mengi yana rangi ya silver?

Mimi nimegungua Mara nyingi magari huenda mbele na Mara cha he nyum

Nimegundua kuwa magari mabovu hupelekwa kwenye karakana

Nimedundua pia matairi yake huzunguka.

Nimegungua uskani wa gari upo mbele

Nimegungua mbele lazima kuwa na matairi mawili

Nimegundua kuwa magari mengi hutumia mafuta
nimegundua una matani ya kijinga
 
Nadhani kuna rangi ambazo zinapendezea vitu fulani.... kiasi kwamba watengenezaji wanauza zaidi vya rangi hiyo...
Pikipiki - nyekundu nyeusi blue
Matank ya maji -nyeusi
Meza - brown
Friji - nyeupe nk
 
Nimegundua wanachama wa simba sc ni mambumbumbu
 
1. Magari meusi si salama sana maana hayaonekani barabarani yanafanana na lami. (Yanavutia kwa mtazamo lakini sio salama)
4. Magari meupe yanavutia na kiusalama nimazuri sana, lakini dosari kidogo ya rangi inachafua taswira na muonekano wa gari
5. Magari ya rangi ya silver
-Kiusalama, yanaonekana vema barabarani, inakaribiana na nyeupe.
-Haichomi macho, wala kutisha kama ilivyo red
-Gari ikisafiri hata barabara ya vumbi bado itaonekana vizuri kuliko nyeupe yaani inaficha uchakavu hata uchafu.
Rangi zingine bado kushindana na silver nivigumu sana, maana silver inabeba hata wapenzi wa gari nyeupe, samawati na pink.
masopakyindi majibu sahihi ni haya ya adolay
labda kwa kuongezea :
  • Rangi ya Silver au Metalic ni kwamba haithiriwi na jua hasa kwa nchi zetu za Tropic kwani haikisi sana na hivo haipauki na puti kuchanika
  • siku hizi magari mengi rangi zao huwa zinachanganya na michanganyiko mingi na hasa ukiisogelea utadhani ni chembeche,be hizi husaidia rangi hiyo kudumu bila kupauka au kukakamaa au kuwa na mawimbi km kuumuka
  • Rangi hiyo hata jua liwakeje haiumizi machoni (km vile nyeupe) kwa anayekufuata nyuma au kupishana na inaonekana usiku kuliko nyeusi
  • ni rangi inayoweza kudumu hata zaidi ya miaka 10 kulikorangi zilizobaki km kijani, nyekundu, Bluu, Pnk nk
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom