John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
Haya yote yanayotokea yanatokana na sera mbovu na uongozi mbovu wa serikali ya ccm.
Madaktari na familia zenu nyie ni wasomi na mnajua kabisa jinsi serikali ya ccm inavyowaibia wananchi, mnajua kabisa jinsi viongozi wa ccm walivyo waroho na wanavyojipenda wao.
Mnaona kabisa jinsi wanavyowazadharau nyie madaktari wa hapa nchini. Wao wakiumwa wanajipeleka india kwani wanawaona nyie kuwa mpo shalow. Lakini cha kushangaza mliipigia kura ccm bila shaka.
Nyie madaktari mpo sio chini ya watu 10,000. Kura 10,000 si haba.nyie ni watu waelewa na kwa elimu yenu mnaweza kuchambua na hamuwezi kudanganywa na t shirt.
Ambaye ameipigia kura ccm ndiye atakayekuwa wa kwanza kutokwa na mimate hapa. Ninasikitika sana kuwa mmeiweka ccm madarakani lakini mme fail kusolve iisue yenu kwa njia ya diplomacy. Kwa nini mliipigia ccm kura?
Madaktari na familia zenu nyie ni wasomi na mnajua kabisa jinsi serikali ya ccm inavyowaibia wananchi, mnajua kabisa jinsi viongozi wa ccm walivyo waroho na wanavyojipenda wao.
Mnaona kabisa jinsi wanavyowazadharau nyie madaktari wa hapa nchini. Wao wakiumwa wanajipeleka india kwani wanawaona nyie kuwa mpo shalow. Lakini cha kushangaza mliipigia kura ccm bila shaka.
Nyie madaktari mpo sio chini ya watu 10,000. Kura 10,000 si haba.nyie ni watu waelewa na kwa elimu yenu mnaweza kuchambua na hamuwezi kudanganywa na t shirt.
Ambaye ameipigia kura ccm ndiye atakayekuwa wa kwanza kutokwa na mimate hapa. Ninasikitika sana kuwa mmeiweka ccm madarakani lakini mme fail kusolve iisue yenu kwa njia ya diplomacy. Kwa nini mliipigia ccm kura?