Hapa Tz tuna siku kadhaa za kitaifa, ambazo huwa ni mapumziko na hutumika kuadhimisha au kukumbuka jambo fulani.
Ukiondoa siku za kidini kuna siku zifuatazo (ambazo zinakua mapumziko):
Kwa maoni yangu, siku hizi ni nyingi mno kwa taifa kupumzika (sina takwimu za nchi nyingine za ukanda huu).
Hoja yangu ni hii, tunapoadhimisha siku ya muungano wa Tz kwa nini tusiwakumbuke na waasisi wa muungano huo? Kama tunawakumbuka...kuna haja gani ya kuwa na Nyerere day na karume day?
Ukiondoa siku za kidini kuna siku zifuatazo (ambazo zinakua mapumziko):
- 12/jan - Mapinduzi Zanzibar
- 07/april - Karume
- 26/april - Muungano
- 01/mei - wafanyakazi
- 07/julai - biashara
- 08/agusti - wakulima
- 14/octoba - Nyerere
- 9/desemba - uhuru Tanganyika
Kwa maoni yangu, siku hizi ni nyingi mno kwa taifa kupumzika (sina takwimu za nchi nyingine za ukanda huu).
Hoja yangu ni hii, tunapoadhimisha siku ya muungano wa Tz kwa nini tusiwakumbuke na waasisi wa muungano huo? Kama tunawakumbuka...kuna haja gani ya kuwa na Nyerere day na karume day?