jamani sasa kuwang`oa tuanzie wapi? tulianzia juu kwa akina el kumbe hata huku chini nako jamaa wanatapanya kidogo tulichopata!!!!!
Mwaka umeisha sasa tangu tuanze kuchangia elimu hapa Dar hakuna taarifa,hivi kweli tutawalaumu wachangia harusi,sendoff,kitchenparty? angalao wao mwisho wa siku huburudika na moja moto moja baridi halafu wanavunja kamati baada ya shughuli nzito. Kandoro tupe maelezo usikae kimya mzee,hiyo ni pesa yetu