Kwanini Kikwete pamoja na kuwa Mwanajeshi anashindwa kuiendesha nchi kijeshi jeshi?

mstahiki

JF-Expert Member
Jul 14, 2007
308
5
JK ni mwanajeshi...Ingependeza sana angeiendesha Tanzania kijeshi jeshi...kama Paul Kagame.... Angekamata mafisadi wote akawaweka ndani... Angewapeleka mchamchaka waiowajibika wote.

Yaani kungekuwa na fear fulani...na watu wangechapa kazi na kungekuwa na maendeleo makuwa sana...
 
Una maanisha kama Nyerere?

Kweli nchi ingekua na maendeleo sana na uwajibikaji wa hari ya juu kuliko ilivyo sasa.

Mimi pia nilijiuliza sana kuhusu hili la KIJESHI na nilishawahi kulichangia hapa,jibu ni kwamba haliwezekani kutokana na mambo mengi tu ya kimfumo wa siasa zetu na jamii pia.

Lakini ni wazo zuri sana kwenye mazingira haya ya jamii iliyo jiozea kama hii yetu kwa rushwa na mambo yote machafu.
 
Wera Wera Wera Wera Wera...................... Uuuuwwiii uuuuwwiii uuuuwwiii Uuuuuuuwwiiii uuuuwwiii ooooyooooo oyyykooooookko ooyyyooooohhhhh
 
Huyo aliingia jeshini bahati mbaya alitakiwa awe model.shikamooo mr mapowder hb wa msoga
 
JK ni mwanajeshi...Ingependeza sana angeiendesha Tanzania kijeshi jeshi...kama Paul Kagame.... Angekamata mafisadi wote akawaweka ndani... Angewapeleka mchamchaka waiowajibika wote.

Yaani kungekuwa na fear fulani...na watu wangechapa kazi na kungekuwa na maendeleo makuwa sana...
Uzuri kwa sasa muda wake umepita.

Na nchi imekabidhiwa kwa washamba na malimbukeni
 
JK ni mwanajeshi...Ingependeza sana angeiendesha Tanzania kijeshi jeshi...kama Paul Kagame.... Angekamata mafisadi wote akawaweka ndani... Angewapeleka mchamchaka waiowajibika wote.

Yaani kungekuwa na fear fulani...na watu wangechapa kazi na kungekuwa na maendeleo makuwa sana...
We ndo mwenyewe nini? Maana unapenda watu wawe na fear, unapenda mambo ya kijeshi jeshi huku ukimrefer Paul Kagame.

Kwahiyo uoga ndo utafanya watu wachape kazi?

Ama haujui nidhamu, nidhamu ya woga, na woga ni vitu vitatu tofauti kabisa?
 
Uzuri kwa sasa muda wake umepita.

Na nchi imekabidhiwa kwa washamba na malimbukeni
Wanaotekeleza maendeleo kwa vitendo , wale wa mjini wana shabikia barabara mbovu mbovu, ujenzi holele ili mradi kenda pub, na kula chips kuku/mayai nk anajiona yuko hong kong , sasa mshamba sijui ni yupi.
 
Wanaotekeleza maendeleo kwa vitendo , wale wa mjini wana shabikia barabara mbovu mbovu, ujenzi holele ili mradi kenda pub, na kula chips kuku/mayai nk anajiona yuko hong kong , sasa mshamba sijui ni yupi.
Yupo mshamba mmoja tu anasema alisukumiziwa maana alikuwa anajaribu.

Free our Bombardier
 
model alieua mtandao wa vigogo.



model ambae kina rostam, lowassa, kingunge, sumaye na vigogo kibao wamemshindwa ujanja.

JK ni mwanajeshi wa kushinda vita kwa akili nyingi.. nguvu kidogo..

USA kuna mtu anaitwa mad dog.. huyo hajawai shika bunduki vitani ila waarabu dunia nzima wanamjua shughuli yake... yeye anaongoza vita akiwa ofisini kwake tu pentagon

Huyo aliingia jeshini bahati mbaya alitakiwa awe model.shikamooo mr mapowder hb wa msoga
 
Back
Top Bottom