JK ni mwanajeshi...Ingependeza sana angeiendesha Tanzania kijeshi jeshi...kama Paul Kagame.... Angekamata mafisadi wote akawaweka ndani... Angewapeleka mchamchaka waiowajibika wote.
Yaani kungekuwa na fear fulani...na watu wangechapa kazi na kungekuwa na maendeleo makuwa sana...
Yaani kungekuwa na fear fulani...na watu wangechapa kazi na kungekuwa na maendeleo makuwa sana...