Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
- Thread starter
- #21
hao wazamani kuwa na watoto wengi ilikua ufahari hawakujali watawatunzaje, sasa hebu imagn maisha ya sasa unaishi chumba kimoja uswahilini utazaa 10 uwalaze wapi? uwalishe nn? Kwa maisha ya sasa acha tu wazae wawili wanawatosha kabisa
Yaani wapo wenye uwezo mkubwa na majumba yao na miradi mbali mbali wala hawafikirii saaana pa kuwalaza wala kuwalisha lakini wanaishia watoto 3 tena hata usiseme uswazi maana huko hata watano (5) wanazaa yaani Vice versa kwa hiyo sababu ya uswahilini na uchumi sijaona kama ya msingi maana matajiri ndiyo wanaongoza kwa idadi ndogo ya watoto wa 2 au 3