Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Wanandoa wengi wa hapa TZ wa siku hizi wanakuwa na uzao wa watoto 2 na ikizidi sana 3 siyo kama wazamani ambapo walikuwa na uzao wa watoto 10 na zaidi. Hii inasababishwa na nini hasa. Maana hata wenye uchumi mkubwa na mzuri sana sana huishia 3 ni kwa nini?