kwa nini hujaoa mpaka sasa?

kwa nini hujaoa mpaka sasa?

mkonowapaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2010
Posts
1,492
Reaction score
772
ikizingatiwa kuwa wanaume ndio initiators wa ndoa /wenye maamuzi ya kuamua.toa sababu yako hapa why mpaka leo bado hujaamua kuoa while everything including ur age vinaruhusu.......

Nothing but the Truth
 
mie sijaoa sababu cku napiga bajeti na girlfriend wangu just roughly ilifika 15 milion.
Bado nipo mpaka nijipange
 
Kila mtu ana sababu zake, mimi kwa kweli bado sijapata wa ukweli........maana kila ninayempata after 2-3 months tunamwagana.
 
Nina jamaa yangu aliulizwa hilo swali..

Akasema hadi akutane na msichana ambaye ajapitia phase na mwanaume mwingine.. Wadau wakamjibu naona unasubiri kudanganywa..

Anakwambia wanawake wenyewe washachezewa sana na X wao halafu yeye ndio awe ----- akalipishwe mahali na abebe jumla makapi.. Tulicheka sana reason aliyotoa lakini tulimwelewa...
 
ikizingatiwa kuwa wanaume ndio initiators wa ndoa /wenye maamuzi ya kuamua.toa sababu yako hapa why mpaka leo bado hujaamua kuoa while everything including ur age vinaruhusu.......

Nothing but the Truth

Kwani kuna limit ya umri kwenye ndoa?
 
Kila bajeti ya serikali inayosomwa kila mwaka gharama za maisha zinaongezeka na watoto wakishua na masistadu wanapenda starehe
 
Kuoa ni jambo linaloshirikisha mtu zaidi ya mmoja,hivyo kumlaumu mtu mmoja kwa kutokuoa au kuolewa sio sahihi
'
Mtu anaweza kuwa tayari kuingia kwenye ndoa lakini yule anaetaka kuoana nae akawa hataki
'
Pia kuna suala la kumpata alie sahihi,huwezi kukurupuka kuingia kwenye ndoa kwa sababu ya umri
'
Kuna wengine hawahitaji ndoa kwa sababu tofauti tofauti,hivyo akawa haitaki ndoa
'
Kwa kifupi,ndoa kwa mtu anaeijua thamani yake hawezi kulazimishwa kuingia kwa kufuata umri au watu fulani!
 
ikizingatiwa kuwa wanaume ndio initiators wa ndoa /wenye maamuzi ya kuamua.toa sababu yako hapa why mpaka leo bado hujaamua kuoa while everything including ur age vinaruhusu.......

Nothing but the Truth

in the process! becoz:
1.muda umefika
2.nimempata nilieridhika nae, sihitaji mambo mengi: anifulie nguo, anipikie na anipe pale kati basi!!

and not becoz nimejipanga! kila nikijipanaga nashindwa!!!!

then give me goodluck!
 
Nina jamaa yangu aliulizwa hilo swali..

Akasema hadi akutane na msichana ambaye ajapitia phase na mwanaume mwingine.. Wadau wakamjibu naona unasubiri kudanganywa..

Anakwambia wanawake wenyewe washachezewa sana na X wao halafu yeye ndio awe ----- akalipishwe mahali na abebe jumla makapi.. Tulicheka sana reason aliyotoa lakini tulimwelewa...

Crazy but brave reason! nampa big rep power!
 
bado sijapata sababu ya kuoa, if i can get free milk, why should i buy a cow?
 
Back
Top Bottom