....
5:anaendesha nchi kama nyumba yake,wanataka nini cha ziada? Au ni kusema hawajajua waafrika wenzao wanavyoteseka?
Ama hawajui viongozi wengi wa afrika ni mafisadi na watu wasio jali raia wa nchi wanazoziongoza? Ama hizi taarifa za vyombo vya habari ni za uongo,nawakilisha tujadili
Hiyo namba tano kwenye red ndiyo tatizo kubwa. Nyumba yako ni nyumba yako na nchi (republic) ni nchi, na huu ndiyo ujinga unaojitokeza hapa home. Watoto wa rais kutaka waonekane kama marais wadogo. Ajenda ya Ghaddafi ni kuwaridhisha republic of Libya watoto wake, yaani kageuza natural resources za taifa kuwa mali yake wakati ni haki ya kila m-Libya na hivyo kusema anasomesha watu bure ni makosa, it is their God given rights kwani ni mafuta waliyopewa na Mungu walibya wote.
Umesema vyema lakini walipaswa kutumia njia nyingine tofauti na hiyo.
Inaelekea wanawaiga waarabu wenzao, mfano misri, lakini hali ya kisiasa miongoni mwa nchi za kiarabu ni tofauti. Mfano kwa nini hawakutumia viongozi wakuu wa umoja wa afrika ili wapeleke matakwa yao bila umwagaji wa damu au vyombo vingine ikishindikana ndo watumie njia mbadala?
Umesema vyema lakini walipaswa kutumia njia nyingine tofauti na hiyo.
Inaelekea wanawaiga waarabu wenzao, mfano misri, lakini hali ya kisiasa miongoni mwa nchi za kiarabu ni tofauti. Mfano kwa nini hawakutumia viongozi wakuu wa umoja wa afrika ili wapeleke matakwa yao bila umwagaji wa damu au vyombo vingine ikishindikana ndo watumie njia mbadala?
mkuu mbona mwalimu aliweka misingi bora akawapisha wenzake, matokeo ni madowans, epa badala ya demikrasiaWanachotaka ni demokrasia, kama misingi imara kashaweka kwa nini asipishe wengine waendeleze?
mkuu mbona mwalimu aliweka misingi bora akawapisha wenzake, matokeo ni madowans, epa badala ya demikrasia
Wanachotaka ni demokrasia, kama misingi imara kashaweka kwa nini asipishe wengine waendeleze?
Umesema vyema lakini walipaswa kutumia njia nyingine tofauti na hiyo.
Inaelekea wanawaiga waarabu wenzao, mfano misri, lakini hali ya kisiasa miongoni mwa nchi za kiarabu ni tofauti. Mfano kwa nini hawakutumia viongozi wakuu wa umoja wa afrika ili wapeleke matakwa yao bila umwagaji wa damu au vyombo vingine ikishindikana ndo watumie njia mbadala?
unajua watu wengi tunasahau kitu kimoja..unaweza kuwa unapata kila kitu lakini huna uhuru, tanzania tu maskini lakini angalau tuna ka-uhuru fulani kakuikosoa serikali, kupiga kura na access ya unfiltered information sasa wenzetu wa middle east na north africa mambo hayo hawana. Na wao wanataka kuila keki ya taifa uku wakipata uhuru kama wa wenzao wa nchi zilizoendelea.
Umesema vyema lakini walipaswa kutumia njia nyingine tofauti na hiyo.
Inaelekea wanawaiga waarabu wenzao, mfano misri, lakini hali ya kisiasa miongoni mwa nchi za kiarabu ni tofauti. Mfano kwa nini hawakutumia viongozi wakuu wa umoja wa afrika ili wapeleke matakwa yao bila umwagaji wa damu au vyombo vingine ikishindikana ndo watumie njia mbadala?