Haya kalaleHawaniongezei shilingi mkuu,soma tu uondoe msongo wa mawazo.
Mbibi tulia hapo hapo...Msituchoshe na hizi nyuzi kuolewa ni bahati kuzaa ni majaaliwa
mwisho wake ni nini?Kwani ni mume wa mtu?
Agiza kinywaji nitakulipia mkuuHaya kalale
We nae unatuchoshamwisho wake ni nini?
Msalimie Deo Kisandu huko NyegeziNina NY.ege miyeee
ha ha ha swali kwa swali mwisho wa siku unatapika yoteWe nae unatuchosha
Mbabu unasubiri nn kunioa? Unakwama wapiMbibi tulia hapo hapo...
hayo ndio maneno sasa fungukeni;mkiwa mnavunga mtazeekea kwenuMbabu unasubiri nn kunioa? Unakwama wapi
Kwahiyo we ni mwanamke mpaka ufaham akifika umri huo atatamani hata mlevi wa gongo amuoe?Kuna umri ukifika utatamani hata mlevi wa gongo akuoe
mi ni daktari wa wanawake kwa hiyo naelewaKwahiyo we ni mwanamke mpaka ufaham akifika umri huo atatamani hata mlevi wa gongo amuoe?
Hebu acha dharau.
Kwani mliagana kwamba kuolewa lazima?Mwanamke mzuri,mrembo,una elimu nzuri,una kazi nzuri; kwa nini hauolewi?
View attachment 1131891
Maandiko yanasema,kila mmoja atawaacha wazazi wake na ataongozana na mwenzie katika kujenga familiaKwani mliagana kwamba kuolewa lazima?
Wala usingepata tabu ya kuuliza ungekua umeshaelewa kama kweli we ni daktari.mi ni daktari wa wanawake kwa hiyo naelewa
Bado namalizia michepuko mbibi usajali.Mbabu unasubiri nn kunioa? Unakwama wapi
Tunaishi kwenye jamii na matatizo ni ya jamii;wanaofanya utafiti sio kwamba hawana majibu,majibu wanayo ila wanaenda field ili kujiridhisha/ku-test majibu waliyonayo kama ni sahihi;nadhani umenielewa.Wala usingepata tabu ya kuuliza ungekua umeshaelewa kama kweli we ni daktari.
[emoji23][emoji23][emoji23]sawaBado namalizia michepuko mbibi usajali.
Nikikuoa sitataka usumbufu wa michepuko
Mliagana kwamba kila mtu anafuata hayo maandiko?Maandiko yanasema,kila mmoja atawaacha wazazi wake na ataongozana na mwenzie katika kujenga familia